SINEMA: Hili tukio lilikuwa na maana gani, hapo kwa Nabii Geo Dave?

SINEMA: Hili tukio lilikuwa na maana gani, hapo kwa Nabii Geo Dave?

[emoji625]Kisongo - Arusha.

Jamaa ana kaulu yake flani hivi anakwambia faidi vinono vya duniani kwanza kabla hujaiona mbingu.

View attachment 2680944
Hapo kwenye kipande cha sinema kuna mabinti itakuwa warembo hao, wanapita mbele ya kadamnasi wakinesa kama kwenye majukwaa ya mamiss.

Yule mwamba kakaa mbele mwenyewe anapita binti mmoja baada ya mwingine karibu yake nk, hilo tukio alikuwa anawafundisha nini hao wanaokwenda kwa hema lake au sisi tunaopanga kwenda hapo?.
Utawatambua kwa matendo
 
Si amekwambia mwenyewe maisha ni haya na uyafaidi (ingawa inategemea maana ya neno faidi na kufaidi ni subjective) binafsi ninaungana na kauli yake na hio ndio motto yangu

To each his/her own...

So long as ufaidikaji wako haumuumizi jirani yako (quid pro qou) mfano kama na hao mabinti nao wanafaidi ni jambo jema sana kila mtu akifaidi atakuwa na furaha hence jamii yenye furaha na iliyolidhika....

Hayo mengine ya sijui mbingu, moto n.k. ni wewe au mtu binafsi na imani yake (so long as haushinikizwi kwenda) au kama wewe kushinikiza watu wasiende hapa bali waende kule..., nadhani all is Kosher....
IMG_20230707_132542.jpg
 
[emoji625]Kisongo - Arusha.

Jamaa ana kaulu yake flani hivi anakwambia faidi vinono vya duniani kwanza kabla hujaiona mbingu.

View attachment 2680944
Hapo kwenye kipande cha sinema kuna mabinti itakuwa warembo hao, wanapita mbele ya kadamnasi wakinesa kama kwenye majukwaa ya mamiss.

Yule mwamba kakaa mbele mwenyewe anapita binti mmoja baada ya mwingine karibu yake nk, hilo tukio alikuwa anawafundisha nini hao wanaokwenda kwa hema lake au sisi tunaopanga kwenda hapo?.
Hizi dini hizi!
 
Aisee faidi vinono....kabla.... na wapo wajinga wanaomtolea sadaka kila Jumapili.
 
Sasa ye akishika mic tu maokoto yanaingia hata kama age imeenda nguvu z kiume Huwa zinaji update zenyewe tu mzee.
 
Back
Top Bottom