Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndio unawaamini hao wanaojiita mabii? Hao ni wahuni tu, chukua Bible jisomee mwenyewe nyumbani tu.Unaona hamna ubaya katika issue za kiroho na hizi mambo?.
Hahahaha,Mkuu wa ma bodyguard sio?Nisher kawa askari bishoo wa kanisa. 😂😂
Kwa ushetani wa huyo jamaa hakawii kuwa anamla huyo binti yake.Sema na yeye ana Bint Mkali kinoma, Binti yake yeke kama sijakosea anaitwa MONA
View attachment 2681692
Kabisa mkuu ila, kwanza siwaamini na hata kama ni wahuni hawa jamaa unadhani katika hilo kundi alilo nalo hakuna watakatifu wa Mungu humo?.We ndio unawaamini hao wanaojiita mabii? Hao ni wahuni tu, chukua Bible jisomee mwenyewe nyumbani tu.
Mtakatifu hawezi kuamini maigizo kama hayo, hao ni wajinga ambao akili zao zimezidiwa na Imani.Kabisa mkuu ila, kwanza siwaamini na hata kama ni wahuni hawa jamaa unadhani katika hilo kundi alilo nalo hakuna watakatifu wa Mungu humo?.