Mtume paulo aliandika vitabu;
Warumi, 1 Wakorintho, 2 Wakorintho, Wagalatia, Waefeso,Wafilipi, Wakolosai, 1 Wathesalonike, 2 Wathesalonike, 1 Timotheo,2 Timotheo Tito, Filemoni.
vyote hivi vilikuwa ni kutoa maonyo na kuwakumbusha watu wa jamii hizo juu ya ufalme wa Mungu.
Nami, na waandika wapumbavu wote katika bwana:
-Kula apple/mafuta/keki/maji/udongo/za upako (umaskini wako wa kiuchumi, imani na mwili uko pale pale)
-vaa chupi/lesso/kanga/heleni/bangili/pedi za upako (umaskini wako wa kiuchumi, imani na mwili uko pale pale)
-Peleka kucha/nywele/ kwa nabii wako (sio wa Mungu) (umaskini wako wa kiuchumi, imani na mwili uko pale pale)
-kula nyoka, majani, ogeshwa kanisani/mbebe mgongoni nabii wako/ msujudie yeye/ (umaskini wako wa kiuchumi, imani na mwili uko pale pale)
-Nenda katika kanisa lenye wana kwaya walio uchi/waumini kushiriki mashindano ya urembo, msiache kushiriki mashindano ya Ngono(soma:Sweden Yaanzisha Mashindano Ya Ngono ,) naam katika yoye haya umaskini wako wa kiuchumi, imani na mwili uko pale pale.
Hawa hapa angalia kama una sali nao huko kwa nabii wako:
Orodha ya Matajiri 10 Tanzania kwa mujibu wa jarida la Forbes. 2018
1. Mohammed Dewji (Mo)
2. Rostam Azizi
3. Said Salim Bakhresa
4 .Marehemu Reginald mengi.
5. Ally Awadhi
6.Shekahr Kanabar
7. Subash Patel
8. Gharib Said Mohammed (GSM)
9.Fida Hussein
10. Salim Turkey
11. Yogesh Marek
12. Abdul Azizi Abood
13. Yusuph Manji.
14. Haroon Zakaria
15. Ally Mafuruki.
16. Nassir Mustafa.
17. Mustafa Sabodo.
AMININI NAWAAMBIA UPUMBAVU WAKO NI MTAJI WA NABII WAKO.