Sinema: Yanga wakiwamwagia Africain maji ya maiti

Sinema: Yanga wakiwamwagia Africain maji ya maiti

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Mbali nchi kuingia kwenye aibu 90' za uwanjani, kuna aibu nyingine nchi imeingia.
Video inaonyesha jinsi mashabiki wa Yanga wakiwangia Club Africain. Maji hayo inasemekana ni maji ya maiti.

Mshana Jr maji ya maiti yana madhara gani kisayansi za uganga
 
View attachment 2405712

Mbali nchi kuingia kwenye aibu 90' za uwanjani, kuna aibu nyingine nchi imeingia.
Video inaonyesha jinsi mashabiki wa Yanga wakiwangia Club Africain. Maji hayo inasemekana ni maji ya maiti.

Mshana Jr maji ya maiti yana madhara gani kisayansi za uganga
Kwa sababu yanamchanganyiko wa CCL4 nafikiri watu wa Chemistry mmenipata vzr
 
Walifanyia kazi ule ushauri wa lejendari pondamali
 
View attachment 2405712

Mbali nchi kuingia kwenye aibu 90' za uwanjani, kuna aibu nyingine nchi imeingia.
Video inaonyesha jinsi mashabiki wa Yanga wakiwangia Club Africain. Maji hayo inasemekana ni maji ya maiti.

Mshana Jr maji ya maiti yana madhara gani kisayansi za uganga
Yana gundu baya lakini hayo walipigwa.[emoji23] yalichakachuliwa mno ndio maana hayakuwa na impact kubwa zaidi ya kutoa suluhu
 
Yanga siwaoni walikimbia uzi, khaa ni nouma sana, watakiona cha moto huko Tunisia
 
Haha Mshana Jr eti yalichakachuliwa sana, what if watunisia nao walijizatiti na wao?
Does it mean kama hayajachakachuliwa yangefanya kazi despite opponent nae kajiandaa?
 
Hadi Mzee Mpili kasalimu amri, kweli kazi wanayo.
 
View attachment 2405712

Mbali nchi kuingia kwenye aibu 90' za uwanjani, kuna aibu nyingine nchi imeingia.
Video inaonyesha jinsi mashabiki wa Yanga wakiwangia Club Africain. Maji hayo inasemekana ni maji ya maiti.

Mshana Jr maji ya maiti yana madhara gani kisayansi za uganga
Kwa wenye Marafiki wa Mochwari ( Mortuary Attendants ) Hospitali za Muhimbili, Lugalo, Amana na Bugando ngoja ru tunyamaze juu ya SIRI Nzito iliyoko nyuma ya Maji ya Maiti na kwamba kwanini hata 90% ya Viongozi wa Dini ( Wahubiri ) nchini huenda kuyanunua hata kwa Shilingi Milioni 1 na kuweka Oda pia.

Usiku Mwema nyote.
 
Back
Top Bottom