Umeona eeeh!Sasa hivi chuki zake kapeleka kwa Hamisa mpk hurumaa!Akimuona Dai anachanganyikiwa maskini,we hujagundua dai alivyokuwa na zari wema alikuwa kimyaa,penzi la zari lilivyokufa tu wema akawa kama kachizika kasahau kuwa kazaa na hamisa,,atafute mwanaume mwingine badala angejikalia na idris tu
Yaan mpaka akameza mate na walivyo wa azam wakaoma wamchukue wema sura hahaha alitaka ye ndio aende pale mbele ashikwe mkono na Daimond ahahahahUmeona eeeh!Sasa hivi chuki zake kapeleka kwa Hamisa mpk hurumaa!
Jana Wema chozi hiloo
Daimond alimsifiaje maana nimeona tu insta hata sisikii vizuri,,ila wema alipendeza aliiga alivyovaa Kim hilo gauniMovie zao hazikuwepo!
Wema alitahayari mnoo na alivyomsifia hamisa
Dai angejua amuoe hamissaBonge la Chemistry lile!!
Alimuambua"tumependezana sana hata huko nyumbani mtoto wetu akituona anafurahi"[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Daimond alimsifiaje maana nimeona tu insta hata sisikii vizuri,,ila wema alipendeza aliiga alivyovaa Kim hilo gauni
Wacha weeee,,Missa alivyosema mwanaume aliependeza ni daimond tu daimond akauma mpaka menoAlimuambua"tumependezana sana hata huko nyumbani mtoto wetu akituona anafurahi"[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tatizo bisandra mchawi anakuwa kama anampangia hivi dai ,na dai anamsikilizia sana mama yakeNgumu sana wasanii wetu kuoana wenyewe kwa wenyewe na Bi.Sandrah yule
Hapana hata Dai akioa atamhudumia tuAnajua akioa huduma zitapungua
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kumbe ndo alimwambia hv jaman wema anahaki aumie mwili umeumbwa na roho si jiwe.Alimuambua"tumependezana sana hata huko nyumbani mtoto wetu akituona anafurahi"[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ahahhahahaha missa ana kiburi na alijuaga lazima zari ataachwa sasa hivi full mahaba sema jini mkata kamba wema ,alimchezeaga hakujua atazaa na wengine[emoji1] [emoji1] [emoji1] niliona paleee nilichekaaaaa kufa balaaa Jana wamefunika haswaa
Yaani Hamisa kichaa looh
Lete picNamuona Julian Shonza km hahaaaaa!!
Kuvaa km sio Waziri
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] yaani sio kwa kujiamini kuleee eti"Diamond platinums"looohjj!Ahahhahahaha missa ana kiburi na alijuaga lazima zari ataachwa sasa hivi full mahaba sema jini mkata kamba wema ,alimchezeaga hakujua atazaa na wengine
Misa atashinda[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] yaani sio kwa kujiamini kuleee eti"Diamond platinums"looohjj!
Na kiburi haswaa sasa vita ni Wema na Hamisa
Waislamu ni wazuri na wana Nuru hao wengine Giza kuanzia sura zao hadi mioyo yao.Yaani hizi Tuzo angekuwa yule gaidi wa chato badala ya JK hakika zingeboa sana .JK anapendeza sana