Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kufanya comparison kati ya Singapore na serikali ya huyo kichaa wenu hapo.Nani kakudanganya?
Nafikiri yote nimeyaandika hapo juu kuelezea unaweza kusoma kama ukipenda, nimeandika ,,mfumo kama wa Tanzania more or less” !
Uwezo wa kufikiri ni mdogo kutokana na elimu yetu kuwa ni ya kukariri, kumeza na kufaulu mitihani. Kwa hiyo wasomi wanakuwa na vyeti vizuri ila kichwani ni vacuum. Inapaswa sisi watanzania tufumue hii elimu ya mkoloni, tatizo kuu ni kusoma kwa kiingereza. Nchi nyingi zilizoendelea wanasoma kwa lugha zao kuanzia vidudu mpaka PHD.Tunaweza kuwa timefànana mengi ilà tunatofàutiana moja kubwa, UWEZO WA KIFIKIRI na UWAJIBIKAJI. Huoni kama hilo ni tatizo kubwa mleta mada?
Peleka posa kwa Mbowe kwanza!
Mbowe ni mchaga. Nakutaka na wewe uje walau uinjoi ndani ya uchaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushamtolea Posa kwa hiyo Mbowe?
Mbowe ni mwanaume, hawezi tolewa posa ila wewe mdada ndo watolewa posa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok basi hongera kwa kunijua, na mimi nitajitahidi kukujua pia kwa maana siyo fair!
Unaelewa maana ya ,, more or less” ?
Wewe ni Mchaga takataka low class, low IQ.
Sawa, kila kitu ni relative hapa Duniani!