Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Hebu jifanyanye unakubaliana nae kimfumo tupo sawa, je kifikra tupo sawa? Wazungu kwa mfumo huu uliopo na teknolojia duni waliweza vuna na kujenga ulaya kwa rasilimali za hapa,sisi teknolojia zipo juu tunashindwa,yaani!!Tatizo chama chetu mkuu