Singeli, muziki wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania

Tafuta hela uache makasiriko
 
Nchi yetu mambo ya kipuuzi na yakijinga jinga huwa ndiyo yanashangiliwa sana.......
 
Tafuta hela uache makasiriko
Kwahiyo great thinker umeona nimekasirika hapo?!!!!

Kwamba ukiwa na hela kubong'oa kwa vijana wako wa kiume sio tatizo?!!!

Kwa mentality hii, we kama una hela (kitu ambacho sidhani) basi vijana wa bodaboda washaweka kambi hapo nyumbani kwako......kambi ya maana tu.

Tuombe Mungu kuwa hiyo kauli umeimeza tu!
 
Reactions: Cyb
PERCEPTIONS
Kuna kazi na kuna mziki afu Dar es Salaam jaribu kuchanganua ayo mambo professor
 
Unakuta mtoa mada anazikubali nyimbo za wale jamaa wanaotaja Pu##sy**!%@ kila mahali.Rickross aliwahi kuimba "Money long as my Dic@$@% head" .
 
Waswahili wana mambo ya hovyo sana..ndio mana tabia za kishoga na kuinamishana zimeanzia pwani.

Sema singeli ina amsha amsha...ikipigwa huwezi kaa chini lazima unyanyuke ukaserebuke.

#MaendeleoHayanaChama
Mjinga tu ndio itakae muamsha
 
Mambo ya hovyo ndio tunayopenda Watz mimi nilidhani huu mziki hautotoboa hata mwaka nashangaa sasa unazidi kuimarika
 
Sijawahi kuona mziki wa hovyo kama Singeli hapa Tanzania

Sijui serikali inasubiri nini kuuchukulia hatua huu mziki

Unafaa kupigwa marufuku maana unafifisha maadili ya jamii, kupromote matendo maovu,kinyume na maumbile na ushoga na kila aina ya uchafu

Mziki huu unatumika kueneza maadili machafu kutokea huko maeneo yaliyoshindikana yaani Temeke to Tanzania nzima

Singeli zinaharibu hadi watoto wadogo ni ajabu sana.....
 
Mziki sio mbaya shida aina ya uchezaji ni mbaya sana haufai.
 
Serikali ifanye namna kwa kweli kwani mie naonaga hazifai kabisa si mashairi wala upande wa uchezaji kwani ndo unaharibu sana watoto wadogo.

Yaani labda ndo kuna shughuli halafu ndo wameeka hizo nyimbo basi unakuta katoto ka kike kamelala chini kanatetemesha mak*lio saa ingine kanachezesha moja moja hadi unajiuliza nini hiki.

Na saa hiyo mzazi yupo lakini hajali wala nini.
 
wanaziimba ni watoto walioshindikana pata picha wanapotokea kama keko bondeni,mbagara kwa panya road,temeke,buza,yombo,manzese na tandale alafu mzamini aliyewajaza ujinga EFM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…