Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima uangalie pembeni ukiwa na unaowaheshimu!Tulifanya mwaka fulani sherehe ya kifamilia! Kuna muda wakaweka hiyo singeli! Dah! Watu wazima ilitulazimu kuangalia pembeni.
Maana kiukweli maadili yalikiukwa.
Inabidi ujichetue kupenda hii kituYaani hiyo singeli sijawahi kuipenda hata kama vile mnanda yaani asilimia kubwa ni uhuni
😂😂😂"Hiii hiii nikuogopeee eeti nisibambie nikuogope wewee
Hiii hiii akuogopeee eeti asicheze chura akuogope wewee"
Shika chini we dada usiangalie sura tikisa moja moja sijaona ukicheza chura twendeee X2
Hiii hiii nikuogopeee haunilishi haunivishi nikuogopeee wewee
Hiii hiii nikuogopeee sikujui hunijui nikuogopeee wewee
Sina fagio fagio langu la chuma kwanza hatuendani mi mzigua sijui mwenzangu "we nanii"
Sina fagio fagio langu la chuma kwanza hatuendani mi mmakonde sijui mwenzangu "we nanii"
"Jaman ule mchezo wa kususiana sijaona ukisusa hiloooo[emoji527], amekupa amekususia"X2[emoji16][emoji16]
Acha kabisa mkuu likichanganya kuna vibe lake [emoji16][emoji16]
Tupo wengi mkuu, ni vijambo vya ajabu kweli kweliKtk aina ya muziki ambao siupendi hata kidogo ni huu unaita singeli.Sijuwi vigezo vinavyotumika kufungia njimbo.
Ndio kitu kimoja tu ilianza mchiriku,miaka ya kati ikaitwa segere ikabadilika tena na kuitwa singeliMkuu mimi nakumbuka kwa jina la Mchiriku.
Kabisa, wanafundishana kugawa mbususu, kwa mpalange na kila kituMuziki wa waliokata tamaa ya maisha
Na hiyo hali inazidi kuongezeka kila leo katika video zaoHumo kwenye huo mziki utakuta kijana wa kiume anabana makalio Kisha anayatingisha mbele ya wavulana wenziee
Mungine vijana wenziee wanamwagia maji makalioni Kisha kijana anaanza kunengua kama kabint flan hivi kwa vivulana vyenzie
Ni aina ya mziki wa kipuuuuzi kabisaaa
Karibu kwa mchango mkuu!Hongera! Uzi mzuri sana.
Unaharibu lengo la uziWaarabu sio watu wazuri wameharibu sana pwani kisha wakaondoka wakiacha kizazi cha kijinga kabisa
Tatizo la kwenye singeli ni kuwa matusi yako wai zaidi na katika kila nyimbo.......kama si maneno basi uchezaji wote ni wa kingono ngonono tu.Nadhani tatizo haliko kwenye aina ya mziki, liko kwenye aina ya wasanii tulionao na maudhui wanayochagua kuyaimba.
Tofauti na miziki ya dini, naomba kama kuna yeyote mwenye ujasiri wa kutaja aina ya mziki ambao hauwezekani kuimbwa matusi au hamasa mbaya atutajie.
Kwani hapa Tanzania (Tanganyika+Zanzibar)Una uhakika unachosema? Kenge we
Hapo sasa
Kwani waswahili original ni kina nani? Wapemba au wazaramo?Usiseme waswahili sema wazaramo maana hao waliupokea ushoga mapema baada ya waarabu kuweka makazi yao pwani.
Uchambuzi mzuriHuu mziki Mtwara, Tanga, Lindi, na hata Zanzibar haupo, huu mziki umeanzishwa na wahuni wa Dar, bila kujali asili zao.
Na umeanza miaka ya tisini hapa, Zamani Mziki wa mwambao ni taarabu.
Ambayo nayo imefifia miaka ya 2000, hasa baada tu ya kuanzishwa hizi moden taarabu, Zilipokufa Wakazika taarabu yote.
Nikujulisheni tu mziki huu wa taarabu kuna kipindi ulitamba hasa.
Baadhi band za taarabu.
Bima taarabu
JKT Taarabu
Muungano Caltre taarabu, hawa pia walikua na maonesho ya vitu vya asili ikiwa kucheza na nyoka.
Eypition ya Burundi
T.O.T taarabu hata lile jina la T.O.T pale tabata limetokana na hii, CCM walikua na mradi wao pale, kama sikosei walikua wanaita SUKITA.
Na kulikua na bandi nyingi nyingine za taarabu.
Hata hivyo yote kwa yote, Ushoga umeongezeka miaka yenu hii, sasa ushoga siyo siri tena, hata mmeamua kuunda vyama vyenu, vijana mnavaa suruali Chupi nje, bila aibu.
HahahaaaHaya twende kama Ajib
Tik tak kama Ajib
Mkude babaa kama Ajib
We kichuya kama Ajib
Mtoto wa nje ya ndoaaaa....[emoji16]
Basi tunaomba wewe utuelezee theory yako ...ilikuwaje pwani ikapapatukia ushoga kuliko bara?Waarabu wamejaa Nzega, Igunga vipi wale wadakama wameharibika.
Waarabu wamejaa Shinyanga mjini, Tinde, Geita, Meatu,Bariadi, Kwimba, Magu, Maswa, Buseresere mpaka chato vipi wale wasukuma wameharibika.
Acha generalization za ajabu.
Ila wa kule kwenu ni wasukuma[emoji38][emoji38][emoji38][emoji28] ila wa huku pwani waarabu.
Acha double standard
Ukiufuatilia sana, baada ya muda unajilia kwa mpalange bila kujiuliza mara mbili.......unaegemea huko zaidi.Usinione kolo ninapewa mchanganyo….maana yake huo mchanganyo yaani ni mbele na nyuma