HS CODE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 1,784
- 4,376
Nadhani tatizo haliko kwenye aina ya mziki, liko kwenye aina ya wasanii tulionao na maudhui wanayochagua kuyaimba.
Tofauti na miziki ya dini, naomba kama kuna yeyote mwenye ujasiri wa kutaja aina ya mziki ambao hauwezekani kuimbwa matusi au hamasa mbaya atutajie.
Tofauti na miziki ya dini, naomba kama kuna yeyote mwenye ujasiri wa kutaja aina ya mziki ambao hauwezekani kuimbwa matusi au hamasa mbaya atutajie.