Singeli, muziki wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania

Singeli, muziki wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania

Sijawahi kuona mziki wowote duniani wenye maneno mazuri labda kwaya za kikatoliki.
Ili uielewe singeli inabidi uwe umeishi uswahilini.
Duniani huko ufuate nini? Hapa Tanzania hujawahi kusikia nyimbo kama : Kilio cha mtu mzima (Msondo), Heshima kwa mwanamke (Ngwasuma), nani kama mama (Christian Bella), Zeze (TID), Mtu pesa (Banza stone)..., zipo kibao tuu
 
Napenda sana muziki ila hii singeli sijawah kuielewa kabisa
 
Mimi siyo mpenzi hizi nyimbo za kisasa, ila kuna muda wakipiga radioni na sikiliza.

Kuna baadhi ya nyimbo ni mzuri, Ila waimbaji siwajui.
1. Kazi yangu Dukani
2. mbuzi kapewa ndevu ng'ombe kanyimwa.
3 Mtaa wa kongo.
4.kuna mwingine kisa cha kijana aliekua teja, anabembea.
Baadhi ya nyimbo zina mashairi yenye maana ila nyingi ni balaa tupu, ni kelele tupu hasa zile mziki wake unapigwa haraharaka ni kelele tupu.

Hatu mziki wa akina Diamond na wenzie, nyimbo zenye maana ni za kudonoa tu, kuliko za hovyo.

Mfano Diamond mashairi yenye maana:
Kwetu mbagara,
Nana,
ule anaoneka akimuaaga mkewe, anapanda pik up ya Land ndrover kwenda kutafuta maisha.
Je utanipenda. Pia nazingine zisikumbuki alipo potea mashairi ni pale tu alipoanza kusuka nywele, nae akijiona muhuni, kutuka siyo kitu kwake.

Sasa amebaki maarufu ila hana wimbo wenye mashairi yenye maana tena.

Kizazi kile cha akina cha kati kabla akina Diamond walikua na mziki wenye mashairi mazuri sijui walikwama wapi.

Akina Lady Jay Dee,
na wenzie.
 
Waarabu sio watu wazuri wameharibu sana pwani kisha wakaondoka wakiacha kizazi cha kijinga kabisa
Huu mziki Mtwara, Tanga, Lindi, na hata Zanzibar haupo, huu mziki umeanzishwa na wahuni wa Dar, bila kujali asili zao.

Na umeanza miaka ya tisini hapa, Zamani Mziki wa mwambao ni taarabu.

Ambayo nayo imefifia miaka ya 2000, hasa baada tu ya kuanzishwa hizi moden taarabu, Zilipokufa Wakazika taarabu yote.

Nikujulisheni tu mziki huu wa taarabu kuna kipindi ulitamba hasa.
Baadhi band za taarabu.
Bima taarabu
JKT Taarabu
Muungano Caltre taarabu, hawa pia walikua na maonesho ya vitu vya asili ikiwa kucheza na nyoka.
Eypition ya Burundi
T.O.T taarabu hata lile jina la T.O.T pale tabata limetokana na hii, CCM walikua na mradi wao pale, kama sikosei walikua wanaita SUKITA.
Na kulikua na bandi nyingi nyingine za taarabu.

Hata hivyo yote kwa yote, Ushoga umeongezeka miaka yenu hii, sasa ushoga siyo siri tena, hata mmeamua kuunda vyama vyenu, vijana mnavaa suruali Chupi nje, bila aibu.
 
Huwa zinapigwa hadi kwenye kampeni za uchaguzi!
 
Duniani huko ufuate nini? Hapa Tanzania hujawahi kusikia nyimbo kama : Kilio cha mtu mzima (Msondo), Heshima kwa mwanamke (Ngwasuma), nani kama mama (Christian Bella), Zeze (TID), Mtu pesa (Banza stone)..., zipo kibao tuu
Umewahi kuisikia Ali Mwinyi?
 
Mara utasikia

"Wahuni nimekutana na X-wangu kakonda mbwa yule"[emoji444][emoji444][emoji444]

"Hoyaaa nimekutana na X-wangu kachakaa mbwa yule"[emoji444][emoji444][emoji444]


Daaaaah[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usinione kolo ninapewa mchanganyo….maana yake huo mchanganyo yaani ni mbele na nyuma
 
Tuna midundo mizuri tuu ya asili kama sindimba, sangura, lizombe and many more, ambazo zikiwa modified ziko poa tuu. Hii singeli zamani ilikuwa inaitwa mchiriku ambao nao ulikuwa matusi mwanzo mwisho na ilikuwa ngoma ya wezi. Yaani ikipigwa mtaani lazima muibiwe sanaa na vurugu. Yaani mchiriku ilikuwa bora hata mdundiko ulikuwa na staha... Nashangaa leo eti nao unaitwa muziki really?? Yaani wameua muziki wa dansi wanapromoti singeli daah..
Singeli ni mziki wa asili yetu, chukua mdundo imbia vitu vya maana achana na hayo matusi full stop.
 
Huu mziki Mtwara, Tanga, Lindi, na hata Zanzibar haupo, huu mziki umeanzishwa na wahuni wa Dar, bila kujali asili zao.

Na umeanza miaka ya tisini hapa, Zamani Mziki wa mwambao ni taarabu.

Ambayo nayo imefifia miaka ya 2000, hasa baada tu ya kuanzishwa hizi moden taarabu, Zilipokufa Wakazika taarabu yote.

Nikujulisheni tu mziki huu wa taarabu kuna kipindi ulitamba hasa.
Baadhi band za taarabu.
Bima taarabu
JKT Taarabu
Muungano Caltre taarabu, hawa pia walikua na maonesho ya vitu vya asili ikiwa kucheza na nyoka.
Eypition ya Burundi
T.O.T taarabu hata lile jina la T.O.T pale tabata limetokana na hii, CCM walikua na mradi wao pale, kama sikosei walikua wanaita SUKITA.
Na kulikua na bandi nyingi nyingine za taarabu.

Hata hivyo yote kwa yote, Ushoga umeongezeka miaka yenu hii, sasa ushoga siyo siri tena, hata mmeamua kuunda vyama vyenu, vijana mnavaa suruali Chupi nje, bila aibu.
Umeisimanga ccm kihalali hongera
 
Nachojua unawasikia kazi wanavyofanya kule kwenu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Waarabu sio watu wazuri waliwaharibu vijana wa kisiju na kuwaacha wakivaa misuli na kufunga vilemba kama mademu wa tu
 
Waswahili wana mambo ya hovyo sana..ndio mana tabia za kishoga na kuinamishana zimeanzia pwani.

Sema singeli ina amsha amsha...ikipigwa huwezi kaa chini lazima unyanyuke ukaserebuke.

#MaendeleoHayanaChama
Sina uhakika wa tabia hizo kuanza huko, ila muelekeo wao kwa kupitia huu muziki hauko sawa
 
Juzi Nilikua sehemu ya heshima Sana,watu walikua wanacheki Mpira.Game ilipoisha tu muziki wa kwanza kupigwa ulikua singeli,nilimaliza bia yangu yote hapohapo na kuondoka zangu.

Sikutegemea sehemu Kama Ile kugekua upumbavu wa aina Ile.
🤣🤣🤣
 
Waarabu wamejaa Nzega, Igunga vipi wale wadakama wameharibika.

Waarabu wamejaa Shinyanga mjini, Tinde, Geita, Meatu,Bariadi, Kwimba, Magu, Maswa, Buseresere mpaka chato vipi wale wasukuma wameharibika.

Acha generalization za ajabu.

Ila wa kule kwenu ni wasukuma[emoji38][emoji38][emoji38][emoji28] ila wa huku pwani waarabu.

Acha double standard
Wale warabu koko wa usukumani..hata majina walisha badili wanaitwa wakina ngwana nchambi n.k.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom