BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Kwa lile goli ali lot ufunge simba Au.Siwezi kuwasamehe Yanga kwa kumuacha Guede 😣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa lile goli ali lot ufunge simba Au.Siwezi kuwasamehe Yanga kwa kumuacha Guede 😣
Maskini ukipata lazima ututingishie matako...tujue kama malaini.Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.
Naona wazi akichukua nafasi ya pili.
Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.
Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.
Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Umenifurahisha sana, kwamba bingwa ni yuleyule anayejulikana sio?Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.
Naona wazi akichukua nafasi ya pili.
Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.
Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.
Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Mkude kaondoka Yanga?Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.
Naona wazi akichukua nafasi ya pili.
Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.
Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.
Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Tulia tu utasema yote,nakupiga ngao ya jamii unatuliaHawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.
Naona wazi akichukua nafasi ya pili.
Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.
Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.
Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Sasa Singida wanaweza kumpa 35ml kweli?Alitaka mshahara mkubwa
Million 35 si hapa mkuu kumpa guede
Manake huko atakubali mshahara pengine hata chini ya ule aliokuwa anapewa YangaTulivomtema akachukua yoyote huko
Manula ni azamHawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.
Naona wazi akichukua nafasi ya pili.
Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.
Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.
Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Ushamba huo..unaacha kufikiria nafasi ya kwanzaHawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.
Naona wazi akichukua nafasi ya pili.
Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.
Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.
Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
🤣🤣🤣DEBORA akiwa kwenye siku zake nani atakamata dimba
Labda JF umejiunga juzi, kuna threads kibao za kejeli mliziandika baada ya utambulisho wa Lomalisa.Joyce alikua Yanga hakusikika MwanaSimba kuwaita Joyce FC. Kwa ushahidi huu ni dhahiri Uto ni akili kisoda sana
Wakati wa JOYCE nani alikuwa anakamata dimba?DEBORA akiwa kwenye siku zake nani atakamata dimba