Singida Black star, wamejipanga, moto utawaka nafasi ya pili

Singida Black star, wamejipanga, moto utawaka nafasi ya pili

Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.

Naona wazi akichukua nafasi ya pili.

Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.

Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.

Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Maskini ukipata lazima ututingishie matako...tujue kama malaini.
 
Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.

Naona wazi akichukua nafasi ya pili.

Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.

Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.

Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Umenifurahisha sana, kwamba bingwa ni yuleyule anayejulikana sio?
 
Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.

Naona wazi akichukua nafasi ya pili.

Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.

Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.

Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Mkude kaondoka Yanga?
 
Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.

Naona wazi akichukua nafasi ya pili.

Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.

Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.

Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Tulia tu utasema yote,nakupiga ngao ya jamii unatulia
 
Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.

Naona wazi akichukua nafasi ya pili.

Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.

Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.

Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Manula ni azam
 
Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.

Naona wazi akichukua nafasi ya pili.

Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.

Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.

Guede , Lyanga, Manura, Mkude,. Moloko na mastaa wengine wako Singida Black star
Ushamba huo..unaacha kufikiria nafasi ya kwanza
 
Joyce alikua Yanga hakusikika MwanaSimba kuwaita Joyce FC. Kwa ushahidi huu ni dhahiri Uto ni akili kisoda sana
Labda JF umejiunga juzi, kuna threads kibao za kejeli mliziandika baada ya utambulisho wa Lomalisa.
 
Back
Top Bottom