Singida Black Stars kuchezesha wazawa leo ili kupunzisha mastaa wao wa kigeni

Singida Black Stars kuchezesha wazawa leo ili kupunzisha mastaa wao wa kigeni

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Timu ya Singida Black Stars imetangaza kwamba mechi ya leo dhidi ya Yanga watapunzisha mastaa wao wa kigeni na kuchezesha wazawa ,wamedai wanapunzisha wachezaji mastaa kwa ajili ya game zinazokuja maana ratiba imekuwa ngumu.

NB: Hii ni match fixing ya wazi,unapunzishaje wachezaji wenye uwezo kwa ajili ya mechi ngumu? Hii inadhihirisha wazi Singida ni tawi la Yanga na wapo kwenye ligi kimkakati ili Yanga ijikusanyie points kirahisi.
 
Timu ya Singida Black Stars imetangaza kwamba mechi ya leo dhidi ya Yanga watapunzisha mastaa wao wa kigeni na kuchezesha wazawa ,wamedai wanapunzisha wachezaji mastaa kwa ajili ya game zinazokuja maana ratiba imekuwa ngumu.

NB: Hii ni match fixing ya wazi,unapunzishaje wachezaji wenye uwezo kwa ajili ya mechi ngumu? Hii inadhihirisha wazi Singida ni tawi la Yanga na wapo kwenye ligi kimkakati ili Yanga ijikusanyie points kirahisi.
Yaani bila shaka wewe ni simba fc 😝
 
Kwani 5imba ilipopigwa 5 na Yanga, na kila siku inavyofungwa na Yanga je Mastaa wa Simba huwa wanacheza?
Yanga ilihonga baadhi ya wachezaji wa Simba kwenye hiyo mechi,ndo maana Manula anakula benchi hadi leo,Inonga akauzwa,Chama akapotezewa hadi akaondoka nwenyewe Simba na kujiunga na timu iliyomhonga
 
Timu ya Singida Black Stars imetangaza kwamba mechi ya leo dhidi ya Yanga watapunzisha mastaa wao wa kigeni na kuchezesha wazawa ,wamedai wanapunzisha wachezaji mastaa kwa ajili ya game zinazokuja maana ratiba imekuwa ngumu.

NB: Hii ni match fixing ya wazi,unapunzishaje wachezaji wenye uwezo kwa ajili ya mechi ngumu? Hii inadhihirisha wazi Singida ni tawi la Yanga na wapo kwenye ligi kimkakati ili Yanga ijikusanyie points kirahisi.
Ibenge aliposemaga anapumzisha wachezaji wake muhimu aliwapumzisha? Vitu vidogo kama hivi sio mpaka uwe na elimu kubwa kuvitambua,,tulia uone kama iyo kauli itakuwa na ukweli tatizo lenu makolo mnakuwa na mchecheto sana ata mtu akijamba kwenu ni stori mnaileta jukwaani!
 
Ibenge aliposemaga anapumzisha wachezaji wake muhimu aliwapumzisha? Vitu vidogo kama hivi sio mpaka uwe na elimu kubwa kuvitambua,,tulia uone kama iyo kauli itakuwa na ukweli tatizo lenu makolo mnakuwa na mchecheto sana ata mtu akijamba kwenu ni stori mnaileta jukwaani!
Kumbe mnjambaga mkuu?
 
Na nyie mnavyopumzishwa msicheze wt kisa Dodoma jiji wamepata ajali mmepewa likizo fupi 😅😅
Hivi kuna watu wanapata hisani kama Wekundu wa Msimbazi? Singida hawana timu ya kuifunga yanga hata wakicheza na First Eleven yote wana makosa mengi sana atleast juzi walibadili mfumo Imoro alijitahidi sana kupush mambo na Rupia akatokea Sub
SBS ni timu ya kuipa changamoto Yanga ila sio ushindi hawana ukali huo labda wapate Kocha wa maana
 
Kwani 5imba ilipopigwa 5 na Yanga, na kila siku inavyofungwa na Yanga je Mastaa wa Simba huwa wanacheza?
Simba iliachana nao na saa hii mpo nao huko wengine weshaanza malalamiko mara wamerushwa sijui wametapeliwa.
 
Timu ya Singida Black Stars imetangaza kwamba mechi ya leo dhidi ya Yanga watapunzisha mastaa wao wa kigeni na kuchezesha wazawa ,wamedai wanapunzisha wachezaji mastaa kwa ajili ya game zinazokuja maana ratiba imekuwa ngumu.

NB: Hii ni match fixing ya wazi,unapunzishaje wachezaji wenye uwezo kwa ajili ya mechi ngumu? Hii inadhihirisha wazi Singida ni tawi la Yanga na wapo kwenye ligi kimkakati ili Yanga ijikusanyie points kirahisi.
Hapo nyuma mwiko leo wanajipigia tu goli saba
 
Na nyie mnavyopumzishwa msicheze wt kisa Dodoma jiji wamepata ajali mmepewa likizo fupi 😅😅
Hivi kuna watu wanapata hisani kama Wekundu wa Msimbazi? Singida hawana timu ya kuifunga yanga hata wakicheza na First Eleven yote wana makosa mengi sana atleast juzi walibadili mfumo Imoro alijitahidi sana kupush mambo na Rupia akatokea Sub
SBS ni timu ya kuipa changamoto Yanga ila sio ushindi hawana ukali huo labda wapate Kocha wa maana

Imagine mkeo anajua mpira hivi,si mnakaa tu home kucheki mpira fleshi.
I love that.
 
Timu ya Singida Black Stars imetangaza kwamba mechi ya leo dhidi ya Yanga watapunzisha mastaa wao wa kigeni na kuchezesha wazawa ,wamedai wanapunzisha wachezaji mastaa kwa ajili ya game zinazokuja maana ratiba imekuwa ngumu.

NB: Hii ni match fixing ya wazi,unapunzishaje wachezaji wenye uwezo kwa ajili ya mechi ngumu? Hii inadhihirisha wazi Singida ni tawi la Yanga na wapo kwenye ligi kimkakati ili Yanga ijikusanyie points kirahisi.
Hakika hii ni yanga b, wanatengeneza sababu ya kufungwa. Match dhidi ya yanga unapumzisha wachezaji muhimu, Tff mnaangalia tu!
 
Ibenge aliposemaga anapumzisha wachezaji wake muhimu aliwapumzisha? Vitu vidogo kama hivi sio mpaka uwe na elimu kubwa kuvitambua,,tulia uone kama iyo kauli itakuwa na ukweli tatizo lenu makolo mnakuwa na mchecheto sana ata mtu akijamba kwenu ni stori mnaileta jukwaani!
Kumbuka ile mechi haikuwa na umuhimu tena kwa ibenge maana ilikuwa tayar keshafuzu kwa hatua inayofuata, pia hakupunzisha wachezaji wote wa kikosi cha kwanza
 
Ili kuokoa yote haya Simba icheze kwa niaba ya Singida
 
Back
Top Bottom