SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Wanawaacha sana na ilihali wana mechi za kimataifa
Ndo mana nakwambia chunguza timu zingine zinacheza almost kila siku3
Simba na Yanga zimekuwa zinapishana kwa siku moja tu toka ligi imeanza. Sijajua unachoongelea umetolea wapi.