Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Tusubiri mchezo hapo saa 10 na dk 15Timu ya Singida Black Stars imetangaza kwamba mechi ya leo dhidi ya Yanga watapunzisha mastaa wao wa kigeni na kuchezesha wazawa ,wamedai wanapunzisha wachezaji mastaa kwa ajili ya game zinazokuja maana ratiba imekuwa ngumu.
NB: Hii ni match fixing ya wazi,unapunzishaje wachezaji wenye uwezo kwa ajili ya mechi ngumu? Hii inadhihirisha wazi Singida ni tawi la Yanga na wapo kwenye ligi kimkakati ili Yanga ijikusanyie points kirahisi.
Aliwapunzisha akiwa ameshafuzuIbenge aliposemaga anapumzisha wachezaji wake muhimu aliwapumzisha? Vitu vidogo kama hivi sio mpaka uwe na elimu kubwa kuvitambua,,tulia uone kama iyo kauli itakuwa na ukweli tatizo lenu makolo mnakuwa na mchecheto sana ata mtu akijamba kwenu ni stori mnaileta jukwaani!
Fresh tu😅😅 halafu sasa uzuri mi sio mbishi tunakaa unanielekeza nakuelekeza afu sio shabiki kahawaImagine mkeo anajua mpira hivi,si mnakaa tu home kucheki mpira fleshi.
I love that.
Mziki wakienda kimataifa hata wapangiwe na vibonde lazima wapasukeTimu ya Singida Black Stars imetangaza kwamba mechi ya leo dhidi ya Yanga watapunzisha mastaa wao wa kigeni na kuchezesha wazawa ,wamedai wanapunzisha wachezaji mastaa kwa ajili ya game zinazokuja maana ratiba imekuwa ngumu.
NB: Hii ni match fixing ya wazi,unapunzishaje wachezaji wenye uwezo kwa ajili ya mechi ngumu? Hii inadhihirisha wazi Singida ni tawi la Yanga na wapo kwenye ligi kimkakati ili Yanga ijikusanyie points kirahisi.
Fresh tu😅😅 halafu sasa uzuri mi sio mbishi tunakaa unanielekeza nakuelekeza afu sio shabiki kahawa
Aisee....kwa hiyo ulitaka mechi ya Dodoma iendelee halafu mje kusema Simba imependelewa kwa kuchezeshwa na waathirika wa ajali?Na nyie mnavyopumzishwa msicheze wt kisa Dodoma jiji wamepata ajali mmepewa likizo fupi 😅😅
Hivi kuna watu wanapata hisani kama Wekundu wa Msimbazi? Singida hawana timu ya kuifunga yanga hata wakicheza na First Eleven yote wana makosa mengi sana atleast juzi walibadili mfumo Imoro alijitahidi sana kupush mambo na Rupia akatokea Sub
SBS ni timu ya kuipa changamoto Yanga ila sio ushindi hawana ukali huo labda wapate Kocha wa maana
Timu ya Singida Black Stars imetangaza kwamba mechi ya leo dhidi ya Yanga watapunzisha mastaa wao wa kigeni na kuchezesha wazawa ,wamedai wanapunzisha wachezaji mastaa kwa ajili ya game zinazokuja maana ratiba imekuwa ngumu.
NB: Hii ni match fixing ya wazi,unapunzishaje wachezaji wenye uwezo kwa ajili ya mechi ngumu? Hii inadhihirisha wazi Singida ni tawi la Yanga na wapo kwenye ligi kimkakati ili Yanga ijikusanyie points kirahisi.
Next matchAisee....kwa hiyo ulitaka mechi ya Dodoma iendelee halafu mje kusema Simba imependelewa kwa kuchezeshwa na waathirika wa ajali?
Kwa maana ya?Next match
Baada ya ratiba ya dodoma match itakayofata mlipangiwa mcheze liniKwa maana ya?
Kwamba kinachoendelea hapa ni kikao cha familia na si mechi?Mm najua Hapo ni YANGA A na YANGA B.
KAZI ni kipimo cha utu
Kwa hiyo unataka timu zishtukizwe tu kucheza na Simba kisa kuwafurahisha nyie? Hivi unadhani Simba ilifurahi kukaa wiki nzima bila kucheza?Baada ya ratiba ya dodoma match itakayofata mlipangiwa mcheze lini
Jibu swaliKwa hiyo unataka timu zishtukizwe tu kucheza na Simba kisa kuwafurahisha nyie?
Ratiba imeendelea kama ulivyokuwa imepangwa, ni mechi ya Dodoma tu iliyoahirishwa.Jibu swali
Walitakiwa kucheza tena tarehe 19??Ratiba imeendelea kama ulivyokuwa imepangwa, ni mechi ya Dodoma tu iliyoahirishwa.
Nimegundua mechi ya Namungo haikuwa hata kwenye ratiba ya mwezi February.Walitakiwa kucheza tena tarehe 19??
Wanawaacha sana na ilihali wana mechi za kimataifaNimegundua mechi ya Namungo haikuwa hata kwenye ratiba ya mwezi February.
Simba siyo Yanga inayopenda kukaa bila kucheza. Ingekuwa TFF wanaipendelea Simba kwa kuifanya ikae bila kucheza, wangeiacha hadi 24/02 kucheza na Azam.