Singida Black Stars kuchezesha wazawa leo ili kupunzisha mastaa wao wa kigeni

Wanawaacha sana na ilihali wana mechi za kimataifa
Ndo mana nakwambia chunguza timu zingine zinacheza almost kila siku3

Simba na Yanga zimekuwa zinapishana kwa siku moja tu toka ligi imeanza. Sijajua unachoongelea umetolea wapi.
 
Simba inunuliwe tu na GSM, maana inaonekana Mwamedi hana kabisa uwezo wa kuishinda Yanga na matawi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…