Ile mechi ya Fountain Gate ilifanyika Liti au Manyara uwanja wa nyumbani wa Fountain Gate?Ndio sababu zilizotolewa lakini mechi dhidi ya Namungo na Singida Fountain zilichezewa hapo hapo. Msemaji alidai eti waliogopa utafungiwa.Kama umetimiza masharti dhidi ya Namungo na Singida Fountain na haukufungiwa?
Mpira wa Tanzania una siasa sana.Yale yale ya jmsimu uliopita mechi ya Tabora United Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ukafungiwa mechi ikachezwa Dodoma na baada ya mechi timu zingine zikachezea uwanja huo kama kawaida.
Jambo la msingi timu iliyo bora itashinda uwanja wowote mechi ikichezeshwa vizuri.Mechi ya Yanga dhidi ya Simba ilichezwa Morogoro????Au unajaribu kutafuta justification isiyoeleweka.
Ndio tatizo la kutofuatilia.Mechi ilichezwa uwanja wa CCM Liti Singida.Ile mechi ya Fountain Gate ilifanyika Liti au Manyara uwanja wa nyumbani wa Fountain Gate?
Hili nalo nenoSafi kabisa. Mashabiki wa mikoani wanafiki sana, Wakicheza Singida na Jkt Tanzania wanaingia mashabiki 15. Wakicheza na Simba au Yanga wanajaa topu kuishangilia timu ya wageni.
Kuleni chuma.
Basi hamna haja ya kucheza nyumbani na ugenini. Mechi zitachezeshwa vizuri na marefa gani?Uliangalia mechi jana Sheikh Amri Abeid Arusha?Jambo la msingi timu iliyo bora itashinda uwanja wowote mechi ikichezeshwa vizuri.
Sababu waliyotoa Haina mashiko mi naamini wamekusudia kutunyima burudani walima alizetiNdio sababu zilizotolewa lakini mechi dhidi ya Namungo na Singida Fountain zilichezewa hapo hapo. Msemaji alidai eti waliogopa utafungiwa.Kama umetimiza masharti dhidi ya Namungo na Singida Fountain na haukufungiwa?
Mpira wa Tanzania una siasa sana.Yale yale ya msimu uliopita mechi ya Tabora United Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ukafungiwa mechi ikachezwa Dodoma na baada ya mechi timu zingine zikachezea uwanja huo kama kawaida.
Wamekusudia kuuza mechi.Shamba la Beka ameuziwa Bakari.Sababu waliyotoa Haina mashiko mi naamini wamekusudia kutunyima burudani walima alizeti
Wanaopeleka mechi za Tanganyika Nchini Zanzibar ni Wahuni waliolenga kuhujumu Wananchi.Naangalia hapa mechi ya mvuto na Raha wanayoangalia wanachuga na nakumbuka kuwa hizi Raha wanasingida watazikosa due to unwise decision made by their leaders.
Imagine wao wataishia kuziona team ndogo tu ambapo watakosa mapato mengi sana kama mkoa
Coastal Union walikuwa nyumbani lakini.Basi hamna haja ya kucheza nyumbani na ugenini. Mechi zitachezeshwa vizuri na marefa gani?Uliangalia mechi jana Sheikh Amri Abeid Arusha?
Peleka uharo huko.Usifikiri kila jambo ni siasa.Ficha ujinga wako sio kila unachokisoma ni siasa zako za majitaka.Wanaopeleka mechi za Tanganyika Nchini Zanzibar ni Wahuni waliolenga kuhujumu Wananchi.
Tushaandika humu mara kadhaa kuhusu uhuni huu wenye msukumo wa kisiasa
Utake Usitake hayo mambo ni siasa za kishenzi za wanaokulipa, Uliona wapi mambo hayo?Peleka uharo huko.Usifikiri kila jambo ni siasa.Ficha ujinga wako sio kila unachokisoma ni siasa zako za majitaka.
Jifunze hata kuandika.Sio kila jambo ni siasa wewe zwazwa.Hapa kuna timu inafanyiwa mazingira mazuri ya kushinda ili isisafiri kwa basi kwani Singida hakuna uwanja wa ndege kubwa.It has nothing to do with your petty thinking.Utake Usitake hayo mambo ni siasa za kishenzi za wanaokulipa, Ukiona wapi mambo hayo?
Kusafiri kwa basi mbona hoja nyepesi sana maana kutoka Arusha kwa bus kwenda Singida ni robo siku unakuwa tayari umetufikia kuanzia Sasa hatutaenda uwanjani kuwashangilia big starsJifunze hata kuandika.Sio kila jambo ni siasa wewe zwazwa.Hapa kuna timu inafanyiwa mazingira mazuri ya kushinda ili isisafiri kwa basi kwani Singida hakuna uwanja wa ndege kubwa.It has nothing to do with your petty thinking.
Uamuzi mzuri abaki na timu yake na, timu ya roho yake.Kusafiri kwa basi mbona hoja nyepesi sana maana kutoka Arusha kwa bus kwenda Singida ni robo siku unakuwa tayari umetufikia kuanzia Sasa hatutaenda uwanjani kuwashangilia big stars
Toka lini, mbona ilipelekwa Ihefu hamkuandamana.Hii team ni yetu wanasingida
Wataipata tu, kwasababu makolo watachezanaye singida.Naangalia hapa mechi ya mvuto na Raha wanayoangalia wanachuga na nakumbuka kuwa hizi Raha wanasingida watazikosa due to unwise decision made by their leaders.
Imagine wao wataishia kuziona team ndogo tu ambapo watakosa mapato mengi sana kama mkoa