Singida Black Stars wamtolea uvivu coach Aussems na Crown FM Kwa kupotosha habari

Singida Black Stars wamtolea uvivu coach Aussems na Crown FM Kwa kupotosha habari

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Singida BS wamesema kocha wao aliondolewa kikosini kwakuwa hakuwa na sifa za kukaa kwenye bench kutokana na kanuni na matakwa ya bodi ya ligi na TFF wala sio eti Kwa sababu alipanga kikosi kilichoipa upinzani Yanga

Singida BS wameongeza kuwa coach Aussems alipenda maisha ya Anasa ya kula bata na kutaka ati bahari ihamishiwe Singida na awe anaishi hotelini

SWALI: kisheria ipoje Crown FM kuhoji upande mmoja na kutangaza taarifa za kupotosha
 

Attachments

  • 1739974839349.jpg
    1739974839349.jpg
    427 KB · Views: 2
  • 1739974816498.jpg
    1739974816498.jpg
    432.4 KB · Views: 2
  • 1739974826710.jpg
    1739974826710.jpg
    391.8 KB · Views: 3
  • 1739974832178.jpg
    1739974832178.jpg
    121.4 KB · Views: 2
Mimi nilimuelewa Aussems, ni kwamba viongozi wa Singida ndio walimpangia kocha wao kikosi kilichocheza na Yanga.

Ameondoa lawama kwa kocha wa Singida
 
Singida BS wamesema kocha wao aliondolewa kikosini kwakuwa hakuwa na sifa za kukaa kwenye bench kutokana na kanuni na matakwa ya bodi ya ligi na TFF wala sio eti Kwa sababu alipanga kikosi kilichoipa upinzani Yanga

Singida BS wameongeza kuwa coach Aussems alipenda maisha ya Anasa ya kula bata na kutaka ati bahari ihamishiwe Singida na awe anaishi hotelini

SWALI: kisheria ipoje Crown FM kuhoji upande mmoja na kutangaza taarifa za kupotosha
Crown wanatumia mihemko bila facts kwenye mijadala yao🚮
 
Hii siyo mara ya kwanza kibopa wa Singida kutuhumiwa kumuingilia kocha katika majukumu yake.

Cha kuchekesha na kushangaza, walimtimua kocha Ernst Middendorp kisa kumchezesha Gadiel Michael kama kiungo badala ya Chukwu, halafu katika mechi ya juzi ya Yanga wamemchezesha Chukwu kama beki wa kati badala ya nafasi yake ya kiungo. Aiseee....
 
Hii siyo mara ya kwanza kibopa wa Singida kutuhumiwa kumuingilia kocha katika majukumu yake.
Aussems alisema pale Simba Kuna viongozi wapumbavu
Je hili ni kweli?
 
Ni kweli. Yanga haina hatimiliki ya kuwa na wapumbavu
Yanga wapumbavu hawapo
Wapumbavu wapo kule Rage alivosema Wanachama wa Simba ni mbumbumbu pale alipokuwa kwenye mkutano mkuu pale ukumbi wa polisi Oystabay
 
Back
Top Bottom