Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Kataeni na hiyo ya 3 siyo penalty. Waaambieni Namungo waache wenge. Kmmmmaeeee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hiyo Crown FM inasikika mikoa mingapi nchini?Singida BS wamesema kocha wao aliondolewa kikosini kwakuwa hakuwa na sifa za kukaa kwenye bench kutokana na kanuni na matakwa ya bodi ya ligi na TFF wala sio eti Kwa sababu alipanga kikosi kilichoipa upinzani Yanga
Singida BS wameongeza kuwa coach Aussems alipenda maisha ya Anasa ya kula bata na kutaka ati bahari ihamishiwe Singida na awe anaishi hotelini
SWALI: kisheria ipoje Crown FM kuhoji upande mmoja na kutangaza taarifa za kupotosha
Wajitahidi wafike na huku mikoaniMwisho kusikika ni Buguruni
Kwann mkuuHawawezi kufika
Ushaelewa, achana na ngonjera.Walimpangia kikosi ili Yanga ishinde Kwa mbinde😅🤣
😄Majungu na waswahili si Pete na kidoleRedio ya majungu ikae huko uswahilini
Alafu hawa wanajikorogo kabisa. Sasa unasema kuwa ko ha hana vigezo vya kuwa head coach au assistant, so ninkwamba wao hawajui qualifications zilizopo kuhusiana na mako ha wakigeni? Huu ninuzembe kwa upande wao management.Barua haina tarehe, Yaan hovyo hovyooo
Kumbuka bodi ya ligi walitoka maelekezo kipindi Singida BS wameshamsajiri AussemsAlafu hawa wanajikorogo kabisa. Sasa unasema kuwa ko ha hana vigezo vya kuwa head coach au assistant, so ninkwamba wao hawajui qualifications zilizopo kuhusiana na mako ha wakigeni? Huu ninuzembe kwa upande wao management.
Pili wao si walitoa statement wakati uchebe anaondoka singida. Kulikuwa na sababu gani ya kuandika haya mambo mengine. Easily wangesema kuwa tayari kla u ilishatoa msimamo wake toka awali hayo mengine ni maoni binafsi ya uche hivyo kama klabu huna ulazima wakunibu maoni
Anawafanya nini hukoTupo na kocha…
Bado inaonyesha kiwa sie tunafanya kazi kimazoea na kwa uzembe mkubwa sana.Kumbuka bodi ya ligi walitoka maelekezo kipindi Singida BS wameshamsajiri Aussems
Walivomfukuza hawakuweka sababu
Kwa ajili ya kulinda heshima na makubaliano Yao hawakutaka kuweka public
Sasa kwakuwa coach amewachafua wametoka hadharani kujisafisha kama taasisi
Na hao bodi ni wazembe pia. Changes za requirements mpya za qualifications unatoa mapema sio eti msimu unakaribia kuanza ndio unasema. Mbona tunashindwa kijifunza kwa wenzetu?Kumbuka bodi ya ligi walitoka maelekezo kipindi Singida BS wameshamsajiri Aussems
Walivomfukuza hawakuweka sababu
Kwa ajili ya kulinda heshima na makubaliano Yao hawakutaka kuweka public
Sasa kwakuwa coach amewachafua wametoka hadharani kujisafisha kama taasisi
UnaumwaHawa wameamua kuwa Timu ya hovyo ili kulinda maslahi ya Yanga..,Na huyo HERSI Kwa misimu 3 amekuwa akifaidika na madhaifu ya viongozi wa Simba wa wakati huo kina Try Again hasa kwa kunusa mapendekezo ya sajili zao na kuchelewa kufanya maamzi mfano AUCHO,MAX,AZIZ KI,MUDATHIR...Sasa MODEWJI karudi kila pendekezo mahili linafanyiwa kazi...Soon huyo HERSI mtamkataa