Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Patrick Aussems na Denis Kitambi Waliwa kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana hela wanajishaua tuWashenzi sana hao...mnamuachishaje kazi mtu yuko Top 4 na ana point 24...yani point 4 nyuma ya anaeongoza ligi...tena nasema hivi washenzi sana...
We kweli bichwa nazi, umetimua makocha kama mvua na hivi karibuni utatimuliwa tenaNyuki wataachisha kazi wengi mwaka huu. Walipiga comeback matata asubuhi ya leo
Wanazo, tozo zetu hazina kazi zaidi ya kuwalipa haoSema hawana hela ya kuwalipa makocha
Kuna namna yanga na wafuasi wake wanajiwekea guarantee ya kutofungwa na hasa kwa kutoheshimu mpira.Kocha gani duniani ambaye timu yake huwa haifungwi ni kushinda tu? Pamba jiji wamchukue ausems haraka sana atawasaidia
100 wewe ndo umesema kweli.Sema hawana hela ya kuwalipa makocha