Shikilia hapo hapo usiachie! 🤸🤸..au hawana hela ya kumlipa wamemtafutia tuu sababu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikilia hapo hapo usiachie! 🤸🤸..au hawana hela ya kumlipa wamemtafutia tuu sababu...
Kufukuzwa kwa mtu kazi ni maamuzi ya muajiri wakeBasi na Kocha wa Man city nae atimuliwe maana sio kwa vipigo vile
Yaa ndo zilivyo timu zenye jina singida mda si mrefu utasikia zinaanza kudaiwa na wachezajiLabda hawana hela ya kumlipa.
Wanataka kumchukua Gamond?Patrick Aussems na Denis Kitambi Waliwa kichwaView attachment 3161454
Wanaitaka nafasi ya simbaHivi ni kweli kwa timu kama hii na kwa ilipofika ndio pa kumtimua kocha?
View attachment 3161552
Sijawahi kuona timu inatimua kocha aliyeipa mafanikio
Sio power Bank🤣🤣🤣Ukweli ni kwamba Timu imeshindwa kuwalipa makocha hao.Muda si mrefu utasikia singida imeuzwa nakuitwa singida power stars
Ujakutana na vituko ligi ya Misri waliokuzidi,Afrika vituko ni kila sehemuMpira wa tanzania bado tia maji tia maji hata hawa caf wanaosema ligi yetu ni ya sita kwa ubora sijui wanatumia kigezo gani ku ipandisha hii ligi
Kuna sababu ,Hawa awana loloteWameshajiona na wao ni miamba....mtu kashinda mechi 7 kafungwa moja wapuuzi sana...au hawana hela ya kumlipa wamemtafutia tuu sababu...
Hapo Tabora inaenda kununuliwaUkweli ni kwamba Timu imeshindwa kuwalipa makocha hao.Muda si mrefu utasikia singida imeuzwa nakuitwa singida power stars
Kweli aisee!yaani huwa najiuliza kama sisi wa 6,hizo za 20,,30,40,50 zikoje🥺Mpira wa tanzania bado tia maji tia maji hata hawa caf wanaosema ligi yetu ni ya sita kwa ubora sijui wanatumia kigezo gani ku ipandisha hii ligi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sio power Bank🤣🤣🤣
Upuuzi mwengine huu kila siku mnataka mshinde nyinyi, mtazani wenzenu mnaocheza nao hawalipwi mishahara.Patrick Aussems na Denis Kitambi Waliwa kichwaView attachment 3161454