Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni

Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Singida Black Stars imewabadilisha uraia wachezaji wake wanne wa kigeni na kuwa raia wa Tanzania, Singida imefanya hivyo ili kukidhi kanuni ya kuwa na wachezaji 12 wa kigeni.

Wachezaji hao ambao wamebadili uraia ni Emmanuel Keyekeh, Arthur Bada, Damaro Mohamedi na Golikipa Amas Obasogie.

Josaphat Arthur Bada (22) ni kiungo raia wa Côte d'Ivoire amewahi kuichezea klabu ya ASEC Mimosas na timu ya taifa Ivory Coast chini ya miaka 23

Soma pia: Idara ya uhamiaji yatoa ufafanuzi dhidi ya wachezaji wa kigeni Singida Black Stars, wote ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi
IMG_2686.jpeg
Emmanuel Keyekeh (27) kiungo mkabaji raia wa Ghana alijiunga na Singida Big Stars akitokea FC Samartex ya ligi kuu ya nchini kwao.
IMG_2687.jpeg
Pamoja na Mohamed Damaro (22), kiungo mkabaji raia wa Guinea ambaye pia ni mchezaji wazamani wa timu ya taifa chini ya miaka 18.
IMG_2688.jpeg

==

IMG_2685.jpeg

IMG_2689.jpeg
 
Singida Black Stars imewabadilisha uraia wachezaji wake watatu wa kigeni na kuwa raia wa Tanzania, Singida imefanya hivyo ili kukidhi kanuni ya kuwa na wachezaji 12 wa kigeni.

Wachezaji hao ambao wamebadili uraia ni Emmanuel Keyekeh, Arthur Bada na Damaro Mohamedi.

Josaphat Arthur Bada (22) ni kiungo raia wa Côte d'Ivoire amewahi kuichezea klabu ya ASEC Mimosas na timu ya taifa Ivory Coast chini ya miaka 23
View attachment 3210353
Emmanuel Keyekeh (27) kiungo mkabaji raia wa Ghana alijiunga na Singida Big Stars akitokea FC Samartex ya ligi kuu ya nchini kwao.
View attachment 3210354
View attachment 3210345
Karibuni Watanzania wapya,ila tu muwe wazalendo wa kweli na sii wazalendo uchwara.Tanzania ni yetu sote.
 
Hii taarifa ina ukakasi. Ninanvyojua kubadili uraia kunaambatana nakutoa tangazo gazetini ili wenye mapingamizi wayawasilishe. Je lini matangazo ya hao wachezaji kuomba uraia kwa waziri wa mambo ya ndani yametolewa kwenye vyombo vya habari ?

Anyway kama imefanyika kinyemela basi hapo kuna pointi za bure na hiyo timu itaenda kushuka daraja hasa kama itashinda mechi zote au moja dhidi ya kurwa na doto wa Kariakoo.
 
Hii taarifa ina ukakasi. Ninanvyojua kubadili uraia kunaambatana nakutoa tangazo gazetini ili wenye mapingamizi wayawasilishe. Je lini matangazo ya hao wachezaji kuomba uraia kwa waziri wa mambo ya ndani yametolewa kwenye vyombo vya habari ?

Anyway kama imefanyika kinyemela basi hapo kuna pointi za bure na hiyo timu itaenda kushuka daraja hasa kama itashinda mechi zote au moja dhidi ya kurwa na doto wa Kariakoo.
Tangazo la Kibu Denis uliona wapi kabla/baada ya kubadili uraia ili kuitumikia Simba SC na Taifa Stars?
 
kUna wakati nahisi dereva wa hili gari kalala. Hivi uraia wa Tz ni rahisi tu, na taasisi husika wapo tu. Wanazijua historia za hao watu na kujiridhisha. Umaskini mbaya sana hasa wa fikira.
Binadamu wote ni Sawa na Afrika ni Moja
Kidumu chama
Zidumu fikra sahihi
 
Singida Black Stars imewabadilisha uraia wachezaji wake wanne wa kigeni na kuwa raia wa Tanzania, Singida imefanya hivyo ili kukidhi kanuni ya kuwa na wachezaji 12 wa kigeni.

Wachezaji hao ambao wamebadili uraia ni Emmanuel Keyekeh, Arthur Bada, Damaro Mohamedi na Golikipa Amas Obasogie.

Josaphat Arthur Bada (22) ni kiungo raia wa Côte d'Ivoire amewahi kuichezea klabu ya ASEC Mimosas na timu ya taifa Ivory Coast chini ya miaka 23
View attachment 3210353
Emmanuel Keyekeh (27) kiungo mkabaji raia wa Ghana alijiunga na Singida Big Stars akitokea FC Samartex ya ligi kuu ya nchini kwao.
View attachment 3210354
Pamoja na Mohamed Damaro (22), kiungo mkabaji raia wa Guinea ambaye pia ni mchezaji wazamani wa timu ya taifa chini ya miaka 18.
View attachment 3210380

==

View attachment 3210345
View attachment 3210383
Duuuu mbona noma hii sas [emoji23][emoji23]
 
Ili kukidhi takwa la kikanuni la kuwa na wachezaji 12 wa kigeni watakaotumika ligi kuu Tanzania bara
Singida Black Star wamelazimika kuwapambania wachezaji wanne wa kigeni ili wapate uraia wa TANZANIA na kupata hadhi ya idadi ya kutumika katika ligi kuu

Tukumbuke pia Kibu Denis ambaye alikuwa raia wa Burundi alipewa uraia ili atumike Simba Sports club

Wachezaji hao ni
1. Emmanuel Keyekeh- Ghana

2. Josephat Arthur Banda- Ivory Coast

3. Mohamed Damaro - Guinea

4. Marouf Tchakei - Togo

Tukumbuke Kuna mechi Singida Black Star walichezesha wachezaji wote wa kigeni isipokuwa goal keeper Mnata, hapa wadau wa soka tulijiuliza kuhusu kanuni ya wachezaji wa kigeni hatukuwa na majibu
Labda hawa wachezaji walipatiwa uraia kimya kimya na nyaraka zipo tFF

Uraia wa TANZANIA umekuwa rahisi kupatikana namna hii,
Yaani sijui walipima vigezo Gani kuwapa wachezaji uraia na kazi Yao ni ya muda mfupi
 
Ili kukidhi takwa la kikanuni la kuwa na wachezaji 12 wa kigeni watakaotumika ligi kuu Tanzania bara
Singida Black Star wamelazimika kuwapambania wachezaji wanne wa kigeni ili wapate uraia wa TANZANIA na kupata hadhi ya idadi ya kutumika katika ligi kuu

Tukumbuke pia Kibu Denis ambaye alikuwa raia wa Burundi alipewa uraia ili atumike Simba Sports club

Wachezaji hao ni
1. Emmanuel Keyekeh- Ghana

2. Josephat Arthur Banda- Ivory Coast

3. Mohamed Damaro - Guinea

4. Marouf Tchakei - Togo

Tukumbuke Kuna mechi Singida Black Star walichezesha wachezaji wote wa kigeni isipokuwa goal keeper Mnata, hapa wadau wa soka tulijiuliza kuhusu kanuni ya wachezaji wa kigeni hatukuwa na majibu
Labda hawa wachezaji walipatiwa uraia kimya kimya na nyaraka zipo tFF

Uraia wa TANZANIA umekuwa rahisi kupatikana namna hii,
Yaani sijui walipima vigezo Gani kuwapa wachezaji uraia na kazi Yao ni ya muda mfupi
Kama watakua wanakaza kwenye game za yanga basi no problems ila kama kwenye game ya yanga watakua na makosa ya kibinaduma ya kujirudia mala kwa mala itabidi kuhoji
GhzkDbjXUAAruhJ.jpeg
 
Back
Top Bottom