Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni

Tanzania kuna wachezaji wengi wazuri, tumekosa mfumo wa kuwatambua na kuwaendeleza.
Hatuna uhaba na hili la kuwapa uraia ni kuthibitisha ubutu wetu.
Hatuna wachezaji,ukiondoa wa Simba na Yanga unabakia na hamna .
Hawa Simba na Yanga kwasababu wanakutana na watu wenye uwezo zaidi yao katika vilabu vyao
 
Tunaomba picha ya Victoria Adebayo, tutakuwa tunamuita "Viki"😅😅😅
 
Hii nchi imeshakuwa ya watu wachache. Najua imekuwa hivyo kwa muda sasa ila imefika wakati hawafichi tena.

Wanangu tutafute pesa kwa njia yoyote ile.....pata pesa, pata mamlaka halafu pata heshima.
 
Bongo bwana🙆‍♂️
Yaani watu wanapata uraia kiurahisi rahisi
Hao walitakiwa wapate work visa,
next permanent resident visa kwa miaka kama mitano hivi then waaply huo uraia
Sasa hawa sidhani kama wamemaliza miaka 8 ndani ya nchi yetu
Anyway labda katiba inaruhusu
 
Kibu kabla ya kuja kucheza Simba alishachezea timu mbili tofauti, alipokuja Simba ndio swala lake la uraia likaibuka. Wakati huo alikuwa ameitwa timu ya taifa kwa hiyo maswala hayafanani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…