BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Hata hivyo DED hana mamlaka yoyote ya kisheria ya kuzuia mkutano wa kisiasaDed ni mtu mdogo mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivyo DED hana mamlaka yoyote ya kisheria ya kuzuia mkutano wa kisiasaDed ni mtu mdogo mno
Je wana wa Singida mjini hawastahili kushiriki ktk 4R kutoa maoni au kusikiliza sera mbadala toka vyama vingine vya siasa vilivyosajiliwa kufuatana na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ? Au wanamchonganisha mwanzilishi wa 4R na raia wasio wanaCCM?
Hata hivyo DED hana mamlaka yoyote ya kisheria ya kuzuia mkutano wa kisiasa
KishachelewaDED fala, anataka kupunguza nyomi tu...
Tutaanika Jina la huyo Ded hadharani ili wazazi wake na wananchi waone na wamjueHuyo DED gani wa hovyo hivyo?! Jukwaa la Wananchi sio mali yake.
Kweli kabisa, wale wakazi wa kimara waliobomelewa nyumba zao kamwe hawawezi msahau. Au Lissu aliyepigwa risasi sidhani kama atamsahauAkawaachia Wosia " Mtanikumbuka [emoji23]"
😆😆😆Kweli kabisa, wale wakazi wa kimara waliobomelewa nyumba zao kamwe hawawezi msahau. Au Lissu aliyepigwa risasi sidhani kama atamsahau
Lakini ni vyema sana kwa watu wa aina hiyo kujitokeza sasa mapema hivi kuliko wakati wanavuruga kura za wananchi.Ded ni mtu mdogo mno
Kumbe mambo yameanzia huku. Mkurugenzi anatimiza amri tu!Wafitini wa kupinga 4R wakiwa kazini, Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amos Makalla akiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Jesh Lupembe na Mkurugenzi wa Singida DC, Ester Chaula wakiwa ktk mikakati.
View attachment 3011491
na wataalum wengine kutoka Halmashuri tofauti za Singida wakisikiliza kero za wananchi katika Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi ambaye leo amezungumza na wananchi wa Manispaa ya Singida.
vyeo vya koneksheniIna maana manispaa ya Singida ina mkurugenzi mwehu? Huyo mkutugenzi lazima ni punguani. Rais Samia anawaokota wapi punguani wa kiwango hiki halafu anawapa mamlaka makubwa?
Nawapnea huruma wanaSingida, maana kwa kuwa na mkurugenzi punguani kama huyo, ni kikwazo kwa maendeleo ya mji wao.
Ili wananchi wote Tanzania wamjue. Takataka za aina hii ni lazima zisafishwe safari hii ili Tanzania iendelee na safari yake ya kutafuta maendeleo.Tutaanika Jina la huyo Ded hadharani ili wazazi wake na wananchi waone na wamjue
Peopleeesssssssss....Huo ndio mkwara alioutoa makamu Mwenyekiti wa chadema Mh Tundu Lisu jioni ya Leo
Lisu anasema wamefanya taratibu zote ikiwemo kutoa taarifa Polisi tangu Jumanne na Polisi wamewakubalia na kuahidi kutoa ulinzi
Lakini ghafla manispaa ya Singida wametuzuia kutumia Uwanja huo
Lisu anasema Chadema hawatakubali uonevu huo na kesho mkutano utafanyika kama ilivyopangwa hata kama watasombwa na kwenda kulala mahabusu
Taarifa imetolewa na Chadema tz Ukurasani X
Mlale Unono 😀😀
Mtanikumbuka 😂😂🌟
Ukweli ni kwamba wana nafuu kuliko wakati ule, angekuwepo yule bwana hata hiyo mikutqno ambayo wamekwisha fanya wasingewezaNa sasa bado mambo ni yale yale, wanatamani kusema ni JPM ila ndo hvy wanashindwa.
Sijui ilikuwaje vyeo vya DED kupewa makada wakati ni vyeo vya kiutendaji na sio vya kisiasa kama DCTaarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Huko Singida Mjini kumepangwa kufanyika Mkutano wa Hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu 8/6/2024, kwenye viwanja vya Stendi ya Zamani.
Taratibu zote zimekamilishwa na kwamba Polisi wameahidi kutoa ulinzi , lakini cha ajabu Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Mjini amejitokeza jioni hii kutoa Tangazo la kusitisha Mkutano huo kinyume cha Sheria za nchi, bila sababu yoyote zaidi ya ile ya "MNANIJUA MIMI NANI"
Hata hivyo Tundu Lissu amepinga vikali Upuuzi huo wa DED na kuamuru Magari ya matangazo kuendelea na kazi, huku akiwaomba wananchi kuhudhuria kwa wingi bila uoga wowote ule maana uwanja wa Stendi ya zamani ni mali ya umma, huku akisisitiza kuwa wako tayari kwa lolote.
Analia nini sasa!Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Huko Singida Mjini kumepangwa kufanyika Mkutano wa Hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu 8/6/2024, kwenye viwanja vya Stendi ya Zamani.
Taratibu zote zimekamilishwa na kwamba Polisi wameahidi kutoa ulinzi , lakini cha ajabu Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Mjini amejitokeza jioni hii kutoa Tangazo la kusitisha Mkutano huo kinyume cha Sheria za nchi, bila sababu yoyote zaidi ya ile ya "MNANIJUA MIMI NANI"
Hata hivyo Tundu Lissu amepinga vikali Upuuzi huo wa DED na kuamuru Magari ya matangazo kuendelea na kazi, huku akiwaomba wananchi kuhudhuria kwa wingi bila uoga wowote ule maana uwanja wa Stendi ya zamani ni mali ya umma, huku akisisitiza kuwa wako tayari kwa lolote.