Pre GE2025 Singida: DED azuia Mkutano wa Hadhara wa Tundu Lissu, Mwenyewe apinga asema lazima Ufanyike au la Patachimbika

Pre GE2025 Singida: DED azuia Mkutano wa Hadhara wa Tundu Lissu, Mwenyewe apinga asema lazima Ufanyike au la Patachimbika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
30 Mei 2024
Singida, Tanzania


Mkuu wa Mkoa wa Singida,Mh Halima Dendego akiandishika kero za wananchi katika Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM ambao umefanyika leo Ijumaa, katika Uwanja wa Bombadia, Manispaa ya Singida.

Je wana wa Singida mjini hawastahili kushiriki ktk 4R kutoa maoni au kusikiliza sera mbadala toka vyama vingine vya siasa vilivyosajiliwa kufuatana na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ? Au wanamchonganisha mwanzilishi wa 4R na raia wasio wanaCCM?
 
Wafitini wa kupinga 4R wakiwa kazini, Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amos Makalla akiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Jesh Lupembe na Mkurugenzi wa Singida DC, Ester Chaula wakiwa ktk mikakati.

View attachment 3011491
na wataalum wengine kutoka Halmashuri tofauti za Singida wakisikiliza kero za wananchi katika Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi ambaye leo amezungumza na wananchi wa Manispaa ya Singida.
Kumbe mambo yameanzia huku. Mkurugenzi anatimiza amri tu!
Hawa watu wana hofu kubwa sana safari hii, na bado.
 
Ina maana manispaa ya Singida ina mkurugenzi mwehu? Huyo mkutugenzi lazima ni punguani. Rais Samia anawaokota wapi punguani wa kiwango hiki halafu anawapa mamlaka makubwa?

Nawapnea huruma wanaSingida, maana kwa kuwa na mkurugenzi punguani kama huyo, ni kikwazo kwa maendeleo ya mji wao.
 
Ina maana manispaa ya Singida ina mkurugenzi mwehu? Huyo mkutugenzi lazima ni punguani. Rais Samia anawaokota wapi punguani wa kiwango hiki halafu anawapa mamlaka makubwa?

Nawapnea huruma wanaSingida, maana kwa kuwa na mkurugenzi punguani kama huyo, ni kikwazo kwa maendeleo ya mji wao.
vyeo vya koneksheni
 
Huo ndio mkwara alioutoa makamu Mwenyekiti wa chadema Mh Tundu Lisu jioni ya Leo

Lisu anasema wamefanya taratibu zote ikiwemo kutoa taarifa Polisi tangu Jumanne na Polisi wamewakubalia na kuahidi kutoa ulinzi

Lakini ghafla manispaa ya Singida wametuzuia kutumia Uwanja huo

Lisu anasema Chadema hawatakubali uonevu huo na kesho mkutano utafanyika kama ilivyopangwa hata kama watasombwa na kwenda kulala mahabusu

Taarifa imetolewa na Chadema tz Ukurasani X

Mlale Unono 😀😀

Mtanikumbuka 😂😂🌟
Peopleeesssssssss....
 
Na sasa bado mambo ni yale yale, wanatamani kusema ni JPM ila ndo hvy wanashindwa.
Ukweli ni kwamba wana nafuu kuliko wakati ule, angekuwepo yule bwana hata hiyo mikutqno ambayo wamekwisha fanya wasingeweza
 
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Huko Singida Mjini kumepangwa kufanyika Mkutano wa Hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu 8/6/2024, kwenye viwanja vya Stendi ya Zamani.

Taratibu zote zimekamilishwa na kwamba Polisi wameahidi kutoa ulinzi , lakini cha ajabu Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Mjini amejitokeza jioni hii kutoa Tangazo la kusitisha Mkutano huo kinyume cha Sheria za nchi, bila sababu yoyote zaidi ya ile ya "MNANIJUA MIMI NANI"

Hata hivyo Tundu Lissu amepinga vikali Upuuzi huo wa DED na kuamuru Magari ya matangazo kuendelea na kazi, huku akiwaomba wananchi kuhudhuria kwa wingi bila uoga wowote ule maana uwanja wa Stendi ya zamani ni mali ya umma, huku akisisitiza kuwa wako tayari kwa lolote.

Sijui ilikuwaje vyeo vya DED kupewa makada wakati ni vyeo vya kiutendaji na sio vya kisiasa kama DC
 
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Huko Singida Mjini kumepangwa kufanyika Mkutano wa Hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu 8/6/2024, kwenye viwanja vya Stendi ya Zamani.

Taratibu zote zimekamilishwa na kwamba Polisi wameahidi kutoa ulinzi , lakini cha ajabu Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Mjini amejitokeza jioni hii kutoa Tangazo la kusitisha Mkutano huo kinyume cha Sheria za nchi, bila sababu yoyote zaidi ya ile ya "MNANIJUA MIMI NANI"

Hata hivyo Tundu Lissu amepinga vikali Upuuzi huo wa DED na kuamuru Magari ya matangazo kuendelea na kazi, huku akiwaomba wananchi kuhudhuria kwa wingi bila uoga wowote ule maana uwanja wa Stendi ya zamani ni mali ya umma, huku akisisitiza kuwa wako tayari kwa lolote.

Analia nini sasa!
 
Back
Top Bottom