Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Mikutano mnafanya huku mnafatiliwa. kwa kumnukuu LissuUkweli ni kwamba wana nafuu kuliko wakati ule, angekuwepo yule bwana hata hiyo mikutqno ambayo wamekwisha fanya wasingeweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikutano mnafanya huku mnafatiliwa. kwa kumnukuu LissuUkweli ni kwamba wana nafuu kuliko wakati ule, angekuwepo yule bwana hata hiyo mikutqno ambayo wamekwisha fanya wasingeweza
Kwani JPM alikuwa ni mnani? Si lilikuwa ni li -CCM kama yalivyo ma - CCM mengine?JPM alisingiziwa mabaya mengi sana na Chadema
DED ana mamlaka Gani kuzuia mkutano? Ni mjingaTaarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Huko Singida Mjini kumepangwa kufanyika Mkutano wa Hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu 8/6/2024, kwenye viwanja vya Stendi ya Zamani.
Taratibu zote zimekamilishwa na kwamba Polisi wameahidi kutoa ulinzi , lakini cha ajabu Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Mjini amejitokeza jioni hii kutoa Tangazo la kusitisha Mkutano huo kinyume cha Sheria za nchi, bila sababu yoyote zaidi ya ile ya "MNANIJUA MIMI NANI"
Hata hivyo Tundu Lissu amepinga vikali Upuuzi huo wa DED na kuamuru Magari ya matangazo kuendelea na kazi, huku akiwaomba wananchi kuhudhuria kwa wingi bila uoga wowote ule maana uwanja wa Stendi ya zamani ni mali ya umma, huku akisisitiza kuwa wako tayari kwa lolote.
Na akumbushwe tu hizi sio zama za shujaa wa kizamani.Ded ni mtu mdogo mno
Kwahy kumbe yale matukio mliokuwa mkiyalalamikia hayakufanywa na JPM moja kwa moja kama nlivokuwa mnasema?Kwani JPM alikuwa ni mnani? Si lilikuwa ni li -CCM kama yalivyo ma - CCM mengine?
Matendo ya ma - CCM yote yanalingana. Mtoto wa shetani hawezi kugeuka kuwa malaika!
Hakuzingiziwa. Ndivyo alivyokuwa, na haya mengine yaliyohai yaliyobaki ndivyo yalivyo.
Generally speaking;, rushwa, ufisadi, power abuse, wizi na yafananayo na hayo ni utamaduni wa ma - CCM yote na hurithisha hadi watoto wao wa kizazi kimoja kwenda kingine!
Hawaiogopi CHADEMA wanamuogopa LissuPropaganda za mtaa wa Lumumba ofisi ndogo ya CCM kueneza habari kuwa CHADEMA hakuko shwari, sasa wanaogopa nini hawa makada wakurugenzi wa wilaya DED ?
JPM alikuwa anachafuliwa tuKwahy kumbe yale matukio mliokuwa mkiyalalamikia hayakufanywa na JPM moja kwa moja kama nlivokuwa mnasema?
Yaani anataka kuudhiihirisha uchawa wake siyo?Ded ni mtu mdogo mno
Mambo ya DED yanapingana na sera ya chama cha CCM kwa sasa na anayofanya yamepitwa na wakati. RC Singida Mjini chukua hatua kitanuka na kuchafua sura ya mkoa na 4RHuyo DED gani wa hovyo hivyo?! Jukwaa la Wananchi sio mali yake.
JPM alikataza kabisa mikutano ya siasa kufanyika, Lissu hajakatazwa mkutano ila kabaniwa uwanja. Ni mambo mawili tofauti kabisa. JPM alikua zaidi ya ibilisiJPM alisingiziwa mabaya mengi sana na Chadema
Vp khs kufuatiliwa kama alivyosemaJPM alikataza kabisa mikutano ya siasa kufanyika, Lissu hajakatazwa mkutano ila kabaniwa uwanja. Ni mambo mawili tofauti kabisa. JPM alikua zaidi ya ibilisi
Umelogwa?JPM alikuwa anachafuliwa tu
Unajua sikuelewi? Kwamba kama JPM alimtumia wahuni kumuua Lissu basi Samia naye akituma watu inabadili nini kuhusu JPM? kwamba hakutuma wahuni?Vp khs kufuatiliwa kama alivyosema
Kabisa na mpka ikafika hatua wakashangilia kifo cha JPM hadharani as if wao wataishi mileleJPM alisingiziwa mabaya mengi sana na Chadema
Kwa hiyo unataka UPANULILIWE WAPIJPM alisingiziwa mabaya mengi sana na Chadema
Pumbav mmempeleka akhera wenyewe leo mnakimbilia kuilaumu chadema majambazi wakubwa nyie! Kwan mlitumwa na cdm kuondoa uhai wa yule bwana?Kabisa na mpka ikafika hatua wakashangilia kifo cha JPM hadharani as if wao wataishi milele