Pre GE2025 Singida: DED azuia Mkutano wa Hadhara wa Tundu Lissu, Mwenyewe apinga asema lazima Ufanyike au la Patachimbika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unajua sikuelewi? Kwamba kama JPM alimtumia wahuni kumuua Lissu basi Samia naye akituma watu inabadili nini kuhusu JPM? kwamba hakutuma wahuni?

So zaidi ya kusema JPM alisingiziwa ungesema Samia naye anarudia ya JPM!! ila sio opposite.
Kwa ufupi tuu, n serikali ipi ilikuwa sahihi kwenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…