Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Jun 8, 2024 #61 Smart911 said: Kila la kheri zake... Cc: Mahondaw Click to expand... Hivo Huko Singida SI ndo alipobatuliwa risasi kipindi kile au nimechanganya madesa??
Smart911 said: Kila la kheri zake... Cc: Mahondaw Click to expand... Hivo Huko Singida SI ndo alipobatuliwa risasi kipindi kile au nimechanganya madesa??
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Jun 8, 2024 #62 konyola said: Kwa hiyo unataka UPANULILIWE WAPI Click to expand... Panua unapopanuliwa ww
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Jun 8, 2024 #63 zitto junior said: Unajua sikuelewi? Kwamba kama JPM alimtumia wahuni kumuua Lissu basi Samia naye akituma watu inabadili nini kuhusu JPM? kwamba hakutuma wahuni? So zaidi ya kusema JPM alisingiziwa ungesema Samia naye anarudia ya JPM!! ila sio opposite. Click to expand... Kwa ufupi tuu, n serikali ipi ilikuwa sahihi kwenu?
zitto junior said: Unajua sikuelewi? Kwamba kama JPM alimtumia wahuni kumuua Lissu basi Samia naye akituma watu inabadili nini kuhusu JPM? kwamba hakutuma wahuni? So zaidi ya kusema JPM alisingiziwa ungesema Samia naye anarudia ya JPM!! ila sio opposite. Click to expand... Kwa ufupi tuu, n serikali ipi ilikuwa sahihi kwenu?
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 Jun 8, 2024 #64 Erythrocyte said: Ded ni mtu mdogo mno Click to expand... DED ni mtu mdogo sawa, Sasa kwanini Tundu Lissu analialia kwa mkwara wa mtu mdogo?
Erythrocyte said: Ded ni mtu mdogo mno Click to expand... DED ni mtu mdogo sawa, Sasa kwanini Tundu Lissu analialia kwa mkwara wa mtu mdogo?