Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Kama ipo ipo tuRefa ndo alikua man of the match [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]View attachment 2776770
SBS Karma itafanya kazi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ipo ipo tuRefa ndo alikua man of the match [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]View attachment 2776770
Refa ndo alikua man of the match [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]View attachment 2776770
Weka mistari parallel to goal lines. Hiyo picha iko haijanhyooka. Mshika kibendera anawezamuona forward wa Singida kuliko beki wa Simba.
Haikuwa kazi nyepesi kufunga timu tatu kwa mpigo. . Yanga + Fountenigate + singida big star.Tutaendelea kulalamika hadi pale watakapoacha kuibeba hii timu ya kuonewa huruma na waamuzi kwa maelekezo.
Simba kuonekana anashinda mechi zake wala hakuzitishi timu kubwa kama Al ahly kipigo kipo palepale oct.20 timu bovu linashinda kwa mchongo shame on you TFF.
Hayo matoto ya wasimbe yanarukaruka tu uwanjani lakini yanashinda kwa mchongo.
Singida wanavuta bangi, refa mwanamke ankuwaje MAN of the match? Pia offside haamui refa wa katiRefa ndo alikua man of the match [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]View attachment 2776770
Huyo rofa hata mimi kanishangazaHii hoja yako ni ya kitoto mpaka basi.
Khaaa!!!yaani utopolo hawa au?????Haikuwa kazi nyepesi kufunga timu tatu kwa mpigo. . Yanga + Fountenigate + singida big star.
Na bado hamjasema , hadi msemeView attachment 2776994
anayetoa haki ni mwamuzi, so mmefungwa kwa hakiHatukatai kufungwa na timu yoyote sio Simba tu, lakini tufungwe kwa haki.
Mataahira ni mengi humuHii hoja yako ni ya kitoto mpaka basi.
Na bado,mtaendelea kulalamika mpaka mnyeTutaendelea kulalamika hadi pale watakapoacha kuibeba hii timu ya kuonewa huruma na waamuzi kwa maelekezo.
Simba kuonekana anashinda mechi zake wala hakuzitishi timu kubwa kama Al ahly kipigo kipo palepale oct.20 timu bovu linashinda kwa mchongo shame on you TFF.
Hayo matoto ya wasimbe yanarukaruka tu uwanjani lakini yanashinda kwa mchongo.