Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Una andika gazeti refu na huna cha kubadilishaaa,

Mashoga bado wapooo sanaaaa
Wee endelea kutesekaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Japo roho inaniuma ila ulichoandika hapa ni kweli 101%.

1)Ni hakika sina ninachoweza kubadilisha.
2)Ni kweli NATESEKA..Nateseka kuwaza itakuwaje kwa watoto wetu.Kama mzazi hii inaogopesha sana.
3)Ni kweli gay mpo na mnazidi kuongezeka.WALA SIBISHI😭😜
 
Kama mzazi kitakuuma maisha yako yote.
Wanaotoa misaada kwenye hizo hospital ni mashoga, sasa unataka kusemaje na wao wanapotoa misaada wanaweka vigezo na masharti ya misaada yao kwamba huu tunakupa sharti utundike bendera yetu hapo nje na machoko wote waje kutibiwa hapa na kupata vilainishi hapa, billion 2 USD hizi hapa mezani na karatasi hii hapa saini, wewe utakataa mkwanja kisa mikundu ya wengine?
 
Hivi ukiblock mtu humu jf kwani utaona comments zake? Manake Kuna mtu humu anakera kila saa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo itabidi ujinyonge tu.

Block za JF hazifanyagi kazi.
 
Back
Top Bottom