Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Hilo la kujifaragua ndo reason moja wapo ya kuwachukia MSM
Mbona straight popote tulipo iwe bar wapi hatujifaragui
Kwanini bar nzima utakuta mashoga 3 ila wanajifaragua kila mtu ajue wao ni mashoga?
Sasa wanataka na wao uwepo wao utambulike eneo hilo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu tutumie mfano wa namna unavyoona upinzani wanapata tabu Tanzania. Tunalilia katiba mpya, ishu ikiwa serious unaskia Mbowe kaitwa ikulu. Msemaji wetu wa katiba mpya ghafla ananyamaza.

Hii business model ndio hutumiwa kila mahala. Sisi we just do copy and paste.

Tunaomba mikopo, tunaaminishwa ni misaada😂, na sisi tunasema ni misaada. Sasa misaada huja na conditions...
Tunaomba misaada km wanavyodai, wanakupa... wao wanaomba mpitishe sheria hizo tu utakataa? Na ukikataa je kesho? Utamuomba nani?

We umeomba nguo ukapewa mbele imeandikwa fu*k me na kuambiwa Asifute atakataa??

Inshort LGBTQ, sio sisi tuseme tumekubali au nini? Ni nguo tuliopewa kama msaada na maandishi ya kututukana.
Mark my words, "what happened to Makonda after fighting LGBTQ movement in Tanzania?"
 
Sasa wanataka na wao uwepo wao utambulike eneo hilo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ndo shida sasa ni kama sasa mashoga tunajua wapo ila wanataka watu wajue wapo na wanatamani watu wajiunge nao
Sjawahi sikia campaign za watu straight wala hata watu maarufu straight hawajitangazi kua ni straight

Kazi ipo kwa MSM lazima ajitangaze
 
Hii ndo shida sasa ni kama sasa mashoga tunajua wapo ila wanataka watu wajue wapo na wanatamani watu wajiunge nao
Sjawahi sikia campaign za watu straight wala hata watu maarufu straight hawajitangazi kua ni straight

Kazi ipo kwa MSM lazima ajitangaze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Dr usinichekeshee mie hapa? sasa straight ajitangaze iwejee?? Gay anajitangaza ili mujue uwepo wake.
 
Sasa huyo dogo lako hata akiwa gay akaamua kuficha asijulikane utajua?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Oooh ni sawaa kwa mtazamo wakooo, hakuna wa kukupingaa.
Gay hawajifichi unajua hisia ni kama kioo.Mfano hata wewe tukikutana tu njiani tukasalimiana,kwa sisi watu wazima nitajua tu mdogo wangu wewe ni gay.Gay,s hawawezi kujificha sababu ni tatizo la kisaikolojia wala sio kimaumbile
 
Gay hawajifichi unajua hisia ni kama kioo.Mfano hata wewe tukikutana tu njiani tukasalimiana,kwa sisi watu wazima nitajua tu mdogo wangu wewe ni gay.Gay,s hawawezi kujificha sababu ni tatizo la kisaikolojia wala sio kimaumbile
Yule afande bila video zake kuvuja, afu ukakutana nae mtaani ungejua km ni GAY?
Unachekeshaa wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom