Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.

Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?

Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?

Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
Maoni kutoka kwa wakenya

Kichocheo cha ushoga ni siasa za mrengo wa USA na EU

Kuna haja ya kuanzisha chama chenye mrengo wa siasa za mrengo wa UAE
Dunia inaulilia ustaarabu huu na mfamo mzuri tuliuona ktk mashindano ya kombe la dunia la Qatar.

Mashindano yaliyoingizia faida kubwa FIFA bila pombe, kamari, Riba na ushoga



Tatizo kubwa wenye ustaarabu huu nchini hawako tayari kuchukua nyadhifa hizo.

Tuwaunge mkono kwani tz ni case study ya ea.

Wana input na kubwa zaidi output ambayo dunia inawahitaji
 
KWANN WEST WANA DILI NA JAMBO HILI AMBALO NI SEHEMU NDOGO SANA AMBAKO USHOGA NI KAMA 0.4% DUNIANI WAKAZANI KU PROMOTE USHOGA UINGIE KBSA KTK JAMII NA UKUE KWA ASILIMIA KUBWA

USHOGA SI HALI YA KAWAIDA NA ILIBIDI UCHUKULIWE KAMA SEHEMU YA MATATIZO (MAGONJWA) WATU WATIBIWE KBSA NA WAPONE

KWANINI MFUMO WA KAWAIDA WA MAISHA YA BINADAMU KWA SASA UMEWEKWA PEMBENI AMBAKO ILIBIDI KUW NA UHAMISHAJI WA NDOA KATIKA YA ME NA KE ILI KUZUIA HIZO AGENDA HIZO ZAIDI WANAKUJA KUTOA ELIMU ZA KUSHOGA


HAWA WANAJUA NN KITAFATA BAADA YA HAPA NA WATAFAIDIKA NA NN KUNA MAMBO MENGI YANAENDELEA KWA KIZAZ CHETU LAKIN HILI N KUBWAA SANA
 
Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.

Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?

Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?

Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
Hii ni Singida!??

Kuna kiongozi mmoja alikwisha sema hayo ni mambo ya faraghani na hatayaingilia
 
Rais atoke na kuweka msimamo hadharani wa Nchi juu ya suala Hilo.

Wakinyamaza, GWAJIMA atarudi madhabahuni kuongea na waumini wake.


Tusubiri.
 
acha ujinga wewe unaongelea msimamo wa serikali ya 2018 kipindi inaongozwa na gwiji, tuletee ya 2023 hii serikali ya mapambio na mipasho ya Khadija kopa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa msimamo ungekua tofauti na huu, ungeshaona wametoaaa. Ndo huo msimamo huo uko valid had sasa,

Poleeeeeeh sanaaaaa.
 
 anaye elewa vizuri kuhusu hao LGBTIQA anieleweshe vizuri nielewe, offical rangi yao ni ipi?
na offical bendera yao ni ipi?
Maana sahivi kila kitu cha rangirangi kinahusishwa na hao wapuuzi,
nilikuwa na mashati yangu ya batiki ya kutimbia church na kwenye interview za sirikali na yenyewe nimeyagawa kwa kuhofia kutangaza agenda za watu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ukishakula pesa yao huwezi kuwakwepa.

Jakaya alisema ukitaka kula shurti ukubali kuliwa [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemjibu vizuri sanaaaa.
 
You know what SIKUPENDI japo sio kosa lako wewe kuwa ulivyo.
You are a CURSE.

And you know what again!?
HOMOSEXUALITY WILL NEVER BE NORMAL popote ulimwenguni.

Unajua ni kwanini bado kuna Gay parades et al huko developed countries pamoja na kuwa ni miaka mingi sasa tokea gay community ipate haki yake?

Unajua ni kwanin STRAIGHT PEOPLE hawana STRAIGHT PEOPLE PARADES kwa ajili ya kutetea haki ya kuwa straight au ku raise awareness ya issue yeyote kuhusu gender yao.?

Unafahamu ni kwanini pamoja na haki zote walizopewa huko nchi zilizoendelea ila IDADI YA GAYS WANAOJIUA NI KUBWA?

Unafahamu ya kwamba sio Africa tu bali hakuna sehemu yeyote duniani ambako kuna jamii inayowaona kuwa Gays ni BINADAMU WA KAWAIDA?
Yes kwenye nchi zilizoendelea sio ajabu kuona midume miwili yenye sharubu ikila denda hadharani au ikitomasana tomasana hadharani au ikafunga ndoa na kuish kama mke na mke au mume na mume ila ukweli unabaki pale pale kuna wazungu wenzao wanawachukia na wanawawinda kuwaua.

Najua kuna mnaozaliwa na matatizo ya kiufundi mnakua hivyo,wengine mnajifunzia mashuleni,wengine njaa zinawaponza nk. na ninajua kuwatukana au kuwachukia kama ninavyowachukia ni kuwaonea ila ukweli unabakia pale pale YOU PEOPLE ARE NOT NORMAL AND WILL NEVER BE NORMAL NOR HAPPY.

POLENI KWA MATATIZO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili povuuu lako la Doffy ndo linaonesha wee hauko normal na Una matatizo binafsiiiii.

Afu kupendwa na wee mie sio shida zangu, akinipenda ninayemvulia nguo inatoshaaaa, usijipime umuhimu na venye hamna. Poleeeeee kwa kutesekaaaaa kakaaa.

Hallah [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
Life 4rever [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
 
True meaning ya utatoa hutoi, ukipewa usisahau ulipewa na wewe kubari kufuata walichokwambia hutaki rudisha misaada yao

HAKUNA cha BURE kila BURE Ina consequences zake, ukifutiwa DENI kuna karatasi wanakupa unasaini na unakubari the same ukipewa misaada kuna karatasi wanakupa unasaini na wewe unataka Pesa utaacha kutia saini?

Kinachofuata ni kigeuzwa wote kua machoko na mabwabwa maana ulishasaini tayari, ukileta ubishi utaulizwa si ulisaini mwenyewe lakini au ulilazimishwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi machoziii.
Waambie hawa watu waeleweeeee.
 
Back
Top Bottom