Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Hata kama ni mali yako inatakiwa ufwate utaratibu wetuHospitali ni mali ya nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ni mali yako inatakiwa ufwate utaratibu wetuHospitali ni mali ya nani
Nimezungumzia mambo mawili:Wewe kama unataka kua shoga usitafte visingizio
Mimi sipo Singida nimekuuliza kwa nia njemaHata kama ni mali yako inatakiwa ufwate utaratibu wetu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona tunaongelea mambo mawili tofauti; mimi nimesema lisu ni kiongozi wa mashoga Africa, ulaya na Asia, wewe unaongela katiba mpya!
Issue ni bendera ya mashoga huko singida kwao na lisu, ambaye ni kiongozi wa mashoga. Acha kuingiza habari ya katiba mpya bwashee.
Hahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimezungumzia mambo mawili:
1. Tundu lisu ni kiongozi wa mashoga Africa, ulaya na Asia
Taifa lipo kwenye mkanganyiko gani tena?!Kulikuwa na haja gani ya kuweka bendera hata kama ni ya peace tena hospitalini tena kwa kipindi hiki taifa lipo kwenye mkanganyiko? Hiyo peace ina kazi gani hospitalini?
Nakwambia jamaa amekubuhu 🤣🤣Hahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpaka Asia kafika???
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakwambia jamaa amekubuhu [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]anaye elewa vizuri kuhusu hao LGBTIQA anieleweshe vizuri nielewe, offical rangi yao ni ipi?
na offical bendera yao ni ipi?
Maana sahivi kila kitu cha rangirangi kinahusishwa na hao wapuuzi,
nilikuwa na mashati yangu ya batiki ya kutimbia church na kwenye interview za sirikali na yenyewe nimeyagawa kwa kuhofia kutangaza agenda za watu
Labda hospitali ni ya kanisaBendera ya katikati ni ya Vatican City (Kanisa Katoliki)
Muongo wewe hakuna bendera zinazofanana duniani[emoji1073] [emoji1229] kati ya hizo moja ni benderà ya France nyingine Netherlands unaweza kuzitofautisha? mambo mengine tupunguze nongwa
Hyo peace inassaidia nn hapo hospitalSiyo Makiungu Hospital pekee,hata "Consolata Hospital Ikonda" huko Makete hao waitaliano wanapeperusha hiyo bendera.
View attachment 2537615Lazima vilainishi vinagawiwa hapo!
Usikute ni enthusiasm yako tu wao hata hawakumaanisha hvoHospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.
Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?
Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?
Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
Taifa lipo kwenye mkanganyiko gani tena?!
Ccm ina support ugasho View attachment 2537633
Hiyo ni hospitali ya kanisa, ndiyo maana bendera ya serikali iko pembeni na bendera ya kanisa iko katikati.Labda hospitali ni ya kanisa
Kwahiyo unatetea ushoga wa kanisa katoliki?Uwe unauliza mkuu. Hiyo siyo bendera ya LGBTQA+ bali ni bendera ya PEACE (PACE)
View attachment 2537545