Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

 anaye elewa vizuri kuhusu hao LGBTIQA anieleweshe vizuri nielewe, offical rangi yao ni ipi?
na offical bendera yao ni ipi?
Maana sahivi kila kitu cha rangirangi kinahusishwa na hao wapuuzi,
nilikuwa na mashati yangu ya batiki ya kutimbia church na kwenye interview za sirikali na yenyewe nimeyagawa kwa kuhofia kutangaza agenda za watu
Badala ya kulichoma wewe ukaligawa likatumiwe na mwingine? Hukufanya vizuri

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.

Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?

Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?

Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
Keyboard Worriors akina Kinuju, ussr, kijakazi, Stroke, countrywide, nigrastrata, corticopotine, kamanda asiyechoka na Shujaa mwendazake nendeni sasa mkabomoe hiyo Hospitali😅😅😅
 
b192e312-bd40-4f0b-9eda-94204bae74b8.jpg
 
According to wikipedia;

The most common recent design is a rainbow flag representing peace, first used in Italy at a peace march in 1961. The flag was inspired by similar multi-coloured flags used in demonstrations against nuclear weapons. A previous version had featured a dove drawn by Pablo Picasso.[13]

The most common variety has seven colours—purple, blue, azure, green, yellow, orange, and red—and is emblazoned in bold with the Italian word PACE, meaning "peace".

It became popular with the Pace da tutti i balconi ("peace from every balcony") campaign in 2002, started as a protest against the impending invasion of Iraq. At that time its use was met with criticism from the Italian LGBT community for being too similar to the LGBT six-color gay pride flag (which was originally created in San Francisco California in 1979) and had started being used regularly in Italy a couple of years earlier during the 2000 inaugural WorldPride celebration in Rome.[14] The flag was flown from balconies in all Italian cities by citizens against the war. Its use spread to other countries too, and the Italian Pace was sometimes, but not everywhere, replaced with the corresponding translation in the local languages.

According to Amnesty International, producer Franco Belsito had produced about 1,000 flags per year for 18 years, and suddenly had to cope with a demand in the range of the millions.[15]

Common variations include moving the purple stripe down below the azure one, and adding a white stripe on top.

The seven-color peace flag is not to be confused with the similar six-color gay pride flag, which does not have azure, and has the colors in the opposite order with red at the top.
Kulikuwa na haja gani ya kuweka bendera hata kama ni ya peace tena hospitalini tena kwa kipindi hiki taifa lipo kwenye mkanganyiko? Hiyo peace ina kazi gani hospitalini?
 
 anaye elewa vizuri kuhusu hao LGBTIQA anieleweshe vizuri nielewe, offical rangi yao ni ipi?
na offical bendera yao ni ipi?
Maana sahivi kila kitu cha rangirangi kinahusishwa na hao wapuuzi,
nilikuwa na mashati yangu ya batiki ya kutimbia church na kwenye interview za sirikali na yenyewe nimeyagawa kwa kuhofia kutangaza agenda za watu
Ht mm nilikuwa na bangili zangu zina rangi rangi nyingi kwakweli nimeamua kuziharibu na kuzitupa kbs.
 
Bendera yenye rangi nyingi.. sijui zipo ngapi.
Zipo 7
Red, orange, yellow, green, blue, indigo, and violet

Rangi za upinde wa mvua zikimaanisha
1. Impermanence
2. Equality and Peace
3. Good Luck
4. Diversity in Sexuality - hii ndio inasimama na LGBTQ
5. New Beginnings
6. Promise

7. Hope
 
Kwa jinsi masharti yanavyozidi kuwa magumu usishangae siku naniliu akavaa tai yenye upinde🐒
Ndio akisaini hivyo itabidi avae tu hakuna namna hutaki acha Pesa zao usichukie kabisa, ukikubari kusaini basi kubari kugawa vilainishi kila angle ya nchi mapema bila kuchelewa
 
Kumekuchaaaaaaah
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji626][emoji626]

Inapepea hapo Makiunguu. Hayaa wapingaji uchwaraaa tokeni kupinga au mkashushe bendera pale, km kweli mko serious.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtabaki kulia kwaa Keyboard, na badooo mnavojifanyaa kupiga kelelee, ndo na wao wanazidi kuwaonesha hadharani.

Mwenye nguvu ndo atajulikana sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halllah [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
PEACE [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
4 life forever [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
You know what SIKUPENDI japo sio kosa lako wewe kuwa ulivyo.
You are a CURSE.

And you know what again!?
HOMOSEXUALITY WILL NEVER BE NORMAL popote ulimwenguni.

Unajua ni kwanini bado kuna Gay parades et al huko developed countries pamoja na kuwa ni miaka mingi sasa tokea gay community ipate haki yake?

Unajua ni kwanin STRAIGHT PEOPLE hawana STRAIGHT PEOPLE PARADES kwa ajili ya kutetea haki ya kuwa straight au ku raise awareness ya issue yeyote kuhusu gender yao.?

Unafahamu ni kwanini pamoja na haki zote walizopewa huko nchi zilizoendelea ila IDADI YA GAYS WANAOJIUA NI KUBWA?

Unafahamu ya kwamba sio Africa tu bali hakuna sehemu yeyote duniani ambako kuna jamii inayowaona kuwa Gays ni BINADAMU WA KAWAIDA?
Yes kwenye nchi zilizoendelea sio ajabu kuona midume miwili yenye sharubu ikila denda hadharani au ikitomasana tomasana hadharani au ikafunga ndoa na kuish kama mke na mke au mume na mume ila ukweli unabaki pale pale kuna wazungu wenzao wanawachukia na wanawawinda kuwaua.

Najua kuna mnaozaliwa na matatizo ya kiufundi mnakua hivyo,wengine mnajifunzia mashuleni,wengine njaa zinawaponza nk. na ninajua kuwatukana au kuwachukia kama ninavyowachukia ni kuwaonea ila ukweli unabakia pale pale YOU PEOPLE ARE NOT NORMAL AND WILL NEVER BE NORMAL NOR HAPPY.

POLENI KWA MATATIZO
 
Nyie si mabingwa wa kupinga? Mkashushe ile benderaaa.
True meaning ya utatoa hutoi, ukipewa usisahau ulipewa na wewe kubari kufuata walichokwambia hutaki rudisha misaada yao

HAKUNA cha BURE kila BURE Ina consequences zake, ukifutiwa DENI kuna karatasi wanakupa unasaini na unakubari the same ukipewa misaada kuna karatasi wanakupa unasaini na wewe unataka Pesa utaacha kutia saini?

Kinachofuata ni kigeuzwa wote kua machoko na mabwabwa maana ulishasaini tayari, ukileta ubishi utaulizwa si ulisaini mwenyewe lakini au ulilazimishwa?
 
Back
Top Bottom