Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Wewe cocastic jibu paragraph ya pili hapo
 
Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.

Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?

Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?

Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
Duh, kazi kweli kweli! Hilo shirika la Masista watakuwa wanasapoti mambo ya kihayawani! Kutakuwa na mradi wamepokea fedha za mashoga na masagaji siyo bure!
 
Huo ni ujinga. Huwezi acha kitu chako kisa mwingine anakitafairi tofauti. Kila mtu ana tafsiri yake kwa jambo lake.
Huo ni ujinga. Huwezi acha kitu chako kisa mwingine anakitafairi tofauti. Kila mtu ana tafsiri yake kwa jambo lake.
Ujinga ni nini?
kila mtu na tafsiri yake lakini tafsiri inayojulikana na watu wengi hiyo ndio tafsiri yenye mashiko
 
Kama Lengo ni peace hayo marangi rangi ya nini? Si wangeweka bendera nyeupe yenye maneno meusi? Hapo kuna namna tu wanapromote Ukokastiki na Udelishazi.
 
Uncle cocastic haya jibu prgph ya pil kutoka mwisho.
 
Duh, kazi kweli kweli! Hilo shirika la Masista watakuwa wanasapoti mambo ya kihayawani! Kutakuwa na mradi wamepokea fedha za mashoga na masagaji siyo bure!
Hapana
Ile bendela ya pale Makiungu ni bendela ya Rastaferians.
Mwanzilishi wa huduma hiyo alikuwa Rasta.
Ni kwamba wanamuenzi tu.
Pesa Kwanza.
 
cocastic naomba unijibu haya maswal yangu hapa then tufunge uzi kama unavyotaka
 
Wakati wa OSMAN BEY sidhani kama wangebaki mashoga hapa duniani,,, dunia ingelikua sehemu salama, hata huyo aliesimamisha flag hiyo angejutia alichokifanya

Mama atoe tamko haraka, na kama atalikalia kimya basi waislamu na wasio waislamu tuandamane kupiga vita huu uchafu usiompendeza Mwenye enzi Mungu
 
Halafu sikuchukii tena!
Kukuchukia haitafanya ubadilike.
Ila napenda tujadili hili swala bila chuki labda naweza nikakubadilisha au nikajifunza kitu kutoka kwako kitakachosaidia kulinda watoto wangu.
 
Kanisani sadaka kibao

jf mambo ni mengi

Totally confused
 
Bila shaka wewe ni bwabwa aka papai unapumuliwa na kidume mwenzako

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…