Una uhakika,ktk miji,inayokua kwa kasi ni Singida,tena ukuaji naturally sio wa kubebwa na matukio au kama Dodoma,au Mtwara,Singida ni mkoa was wachapa kazi nenda vijijini Iramba uone maendeleo ys kasi,umeme unakaribia 60% ,unataka mini zaidi....,linganisha hali ya maisha ya watu MF.ea Iramba na Mikoa kama Lindi,Tanga,Moro,Tabora,Kagera nk
..ni tofauti kubwa
Acha kukariri