Singida kufungwa 4 na Yanga yalikuwa maelekezo ya Waziri wa Nchi?

Singida kufungwa 4 na Yanga yalikuwa maelekezo ya Waziri wa Nchi?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20221230-203322_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20221230-203322_Samsung Internet.jpg

Pamoja na uimara wa Singida Big Star tukishuhudia ikifungwa 4 na Yaanga. Pamoja na ushindi wa Yanga wa kuungaunga wa 1 mpaka 2 lakini wakaweza kuifunga Singida BS 4.

Kwa jinsi waziri huyu anavyotumia cheo chake kumtaka Fei Toto asiondoke Yanga. Na jinsi waziri huyu alivyotoa maelekezo Fei Toto akachezee Yanga licha ya kusajiliwa Singida, tunajenga mashaka kwamba ule ushindi ulijaa maelekezo toka ngazi za juu.

Tunajua hakuna Mamlaka ya kufuatilia nyendo za waziri huyu kwa kuwa yupo juu ya sheria, ila tunamuonya aache mara moja tuharibu maisha ya watu na kutuharibia mpira wetu
 
View attachment 2463672View attachment 2463672
Pamoja na uimara wa Singida Big Star tukishuhudia ikifungwa 4 na Yaanga. Pamoja na ushindi wa Yanga wa kuungaunga wa 1 mpaka 2 lakini wakaweza kuifunga Singida BS 4.

Kwa jinsi waziri huyu anavyotumia cheo chake kumtaka Fei Toto asiondoke Yanga. Na jinsi waziri huyu alivyotoa maelekezo Fei Toto akachezee Yanga licha ya kusajiliwa Singida, tunajenga mashaka kwamba ule ushindi ulijaa maelekezo toka ngazi za juu.

Tunajua hakuna Mamlaka ya kufuatilia nyendo za waziri huyu kwa kuwa yupo juu ya sheria, ila tunamuonya aache mara moja tuharibu maisha ya watu na kutuharibia mpira wetu

Mayele Alivyowapiga Mbili Kwenye Ngao Ya Jamii, Yalikuwa Ni Maelekezo Kutoka Wapi?
 
Simba ndio timu tuliyo iburuza maranyingi zaidi kuliko timu yoyote ya mpira wa miguu apa Tanzania maelekezo uwa yanatoka wapi?
 
Kwani baada ya uto kufunga zile goli nne kwa Singida, lini tena wamewahi kufunga magoli manne?!

Hao Singida na mmiliki wao ni Upuuzi FC.
Mmeshinda goli 7 na ligi mmeongoza au sio, Watu wanacheza mpira kwa mahesabu makali we baki kuhesabu magoli ya mteremko wenzako wanahesabu vyote point 3 na magoli mwisho wa siku boya litajulikana ni lipi
 
Tatizo sisi tuliwekeza.nguvu nyingi kwa Azam eti amsimamishe yanga tukasahau kuwa.hyo.ilikuwa Kaz yetu SS kumsimamisha yanga

Matokeo yake ndio haya tumeahinda 7-1 lakn hatuna furaha na kutwa tunaandika utumbo kama.huu


Kila mtu.ashinde mechi.zake
 
Na vipi kuhusu prison unayoijua wewe kula 7?
Mliwahadaa kwa ahadi ya milioni 30 wakaja wamekamia mechi kiboya.
Na mission ya kwanza naona mlipewa maelekezo mumvunje Inonga na mkafanikiwa.Ila imewagharimu.Ulitaka Mnyama acheke cheke baada ya kusawazishiwa goli?

Pole sana utopolo

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Simba ndio timu tuliyo iburuza maranyingi zaidi kuliko timu yoyote ya mpira wa miguu apa Tanzania maelekezo uwa yanatoka wapi?
Ni kawaida ya vitimu vidogo kupania mechi kubwa kama mlivyopigwa na Ihefu.

Utopolo ni kama Ihefu tu wanapokutana na Simba.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Ni kawaida ya vitimu vidogo kupania mechi kubwa kama mlivyopigwa na Ihefu.

Utopolo ni kama Ihefu tu wanapokutana na Simba.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mmebaki kujificha kwenye kivuli cha ndugu zenu ihefu, Nyie mmeshindwa nini, Subilieni kipigo cha Azam ndo akili itawakaa sawa mkapiganie nafasi ya 3 na geita gold uko
 
Mmeshinda goli 7 na ligi mmeongoza au sio, Watu wanacheza mpira kwa mahesabu makali we baki kuhesabu magoli ya mteremko wenzako wanahesabu vyote point 3 na magoli mwisho wa siku boya litajulikana ni lipi
Goli 7 zimewanyima usingizi kabisa..
 
View attachment 2463672View attachment 2463672
Pamoja na uimara wa Singida Big Star tukishuhudia ikifungwa 4 na Yaanga. Pamoja na ushindi wa Yanga wa kuungaunga wa 1 mpaka 2 lakini wakaweza kuifunga Singida BS 4.

Kwa jinsi waziri huyu anavyotumia cheo chake kumtaka Fei Toto asiondoke Yanga. Na jinsi waziri huyu alivyotoa maelekezo Fei Toto akachezee Yanga licha ya kusajiliwa Singida, tunajenga mashaka kwamba ule ushindi ulijaa maelekezo toka ngazi za juu.

Tunajua hakuna Mamlaka ya kufuatilia nyendo za waziri huyu kwa kuwa yupo juu ya sheria, ila tunamuonya aache mara moja tuharibu maisha ya watu na kutuharibia mpira wetu
Hii hoja ni ya kitoto halafu imeletwa na mtu mzima. Inashangaza mpaka basi kwa nchi yetu kuwa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri, na kuchanganua mambo kwa weredi.
 
Refer kauli ya Rage utapata majibu mkuu..
Aisee huyo mwamba anatakiwa aifute ile kauli yake, ili hawa jamaa warudi katika hali zao za kawaida! Maana hilo jina alilowaita, linaendelea kuwatafuna miaka nenda.
 
Back
Top Bottom