SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Tunachokumbuka ni kilichotokea kule kwenye mashamba ya mpunguKwani baada ya uto kufunga zile goli nne kwa Singida, lini tena wamewahi kufunga magoli manne?!
Hao Singida na mmiliki wao ni Upuuzi FC.
Yule aliyekula umeme kapewa 10 m for a job well done.Prison waliahidiwa 30m na ndgu wa GSM
Tukiwa na watu kama nyie Tanzania ndio mnafanya tudharauliwe kimataifa kuwa uwezo wetu wa kufikiri haupo Vizuri. Sio sawa kusimama na kudharau timu ya Yanga au Simba wakati ndio vilabu Bora kabisa Tanzania ambapo timu yoyote ikikutana navyo hata ikitoa Droo Inashangilia.View attachment 2463672View attachment 2463672
Pamoja na uimara wa Singida Big Star tukishuhudia ikifungwa 4 na Yaanga. Pamoja na ushindi wa Yanga wa kuungaunga wa 1 mpaka 2 lakini wakaweza kuifunga Singida BS 4.
Kwa jinsi waziri huyu anavyotumia cheo chake kumtaka Fei Toto asiondoke Yanga. Na jinsi waziri huyu alivyotoa maelekezo Fei Toto akachezee Yanga licha ya kusajiliwa Singida, tunajenga mashaka kwamba ule ushindi ulijaa maelekezo toka ngazi za juu.
Tunajua hakuna Mamlaka ya kufuatilia nyendo za waziri huyu kwa kuwa yupo juu ya sheria, ila tunamuonya aache mara moja tuharibu maisha ya watu na kutuharibia mpira wetu
Muwe mnafanya utani na watu wa level zenu. Madai yasiyokuwa na kichwa au miguu ya namna hii ndio husababisha uongozi wa jamii forums kutumia nguvu za ziada kuwalinda pale vyombo vya dola vinapokuwa vinatafuta watuhumiwa wake. Hatutaki tuanze hashtag za free #Okw Boban Sunzu#View attachment 2463672View attachment 2463672
Pamoja na uimara wa Singida Big Star tukishuhudia ikifungwa 4 na Yaanga. Pamoja na ushindi wa Yanga wa kuungaunga wa 1 mpaka 2 lakini wakaweza kuifunga Singida BS 4.
Kwa jinsi waziri huyu anavyotumia cheo chake kumtaka Fei Toto asiondoke Yanga. Na jinsi waziri huyu alivyotoa maelekezo Fei Toto akachezee Yanga licha ya kusajiliwa Singida, tunajenga mashaka kwamba ule ushindi ulijaa maelekezo toka ngazi za juu.
Tunajua hakuna Mamlaka ya kufuatilia nyendo za waziri huyu kwa kuwa yupo juu ya sheria, ila tunamuonya aache mara moja tuharibu maisha ya watu na kutuharibia mpira wetu