Singida Mashariki, Kazi anazofanya Miraji Mtaturu, Lissu tafuta jimbo lingine

matqko yqko, toka tupqte Uhuru Hilo Jimbo lilikuwa chini ya ccm. munio wa ma nyokwe
 
Maendeleo yanaletwa na serikali kwa kodi za wananchi,mbunge ni mseamaji tu.

Ni upumbavu kudhani mbunge ndie analeta maendeleo.
 
Jamaa hajui hata kusifia, eti TTCL wanaweka mnara kwa usimamizi wa mbunge
Kama bado tunasherekea kujengewa minara basi kumbe sio tu kwamba tuna safari ndefu bali hata hiyo safari tusioijua urefu wake haijaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…