Pre GE2025 Singida: Mikutano ya Tundu Lissu yatikisa. Baadhi ya Wananchi wapanda mitini ili kumuona

Pre GE2025 Singida: Mikutano ya Tundu Lissu yatikisa. Baadhi ya Wananchi wapanda mitini ili kumuona

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ni vigumu kueleza tukaeleweka, bali unachotakiwa kufahamu ni kwamba wakati wao wanamalizia kuuza eneo la Bahari, baada ya kumaliza kuuza mbuga na ardhi, Tundu Lissu yuko Huko Singida akifundisha wananchi namna ya kulinda rasilimali zao.

Unaambiwa ni hatari! Mikutano inajaa kiasi cha wananchi kulazimika kupanda Juu ya miti ili kumshuhudia Mtu huyu Mfufuka aliyetandikwa zaidi ya risasi 40 na watawala kwa lengo la kumuua bila mafanikio

Maneno matupu hayavunji mfupa

Screenshot_2024-06-03-22-29-37-1.png
Screenshot_2024-06-03-22-29-46-1.png
Screenshot_2024-06-03-22-29-27-1.png
Screenshot_2024-06-03-22-29-17-1.png
 
Vipi hakuna aliyebubujikwa na machozi kama kule kwa kina Luka?
 
Ni vigumu kueleza tukaeleweka, bali unachotakiwa kufahamu ni kwamba wakati wao wanamalizia kuuza eneo la Bahari, baada ya kumaliza kuuza mbuga na ardhi, Tundu Lissu yuko Huko Singida akifundisha wananchi namna ya kulinda rasilimali zao...
Akimaliza awaeleze yaliyomkuta msigwa hana hamu!
 
Ni vigumu kueleza tukaeleweka, bali unachotakiwa kufahamu ni kwamba wakati wao wanamalizia kuuza eneo la Bahari, baada ya kumaliza kuuza mbuga na ardhi, Tundu Lissu yuko Huko Singida akifundisha wananchi namna ya kulinda rasilimali zao...
Hapo ni kijijini hawana umeme, hawana vipaza sauti na sauti ya lisu ni ndogo kutokana na kuwa muda mwingi anakuwa kalewa hivyo kujikuta hata kama anahutubia watu watano basi inabidi wasogelee karibu ndiyo maana wengine wakaona wapande mitini kusikia kisauti chake kidogo
 
Hapo ni kijijini hawana umeme, hawana vipaza sauti na sauti ya lisu ni ndogo kutokana na kuwa muda mwingi anakuwa kalewa hivyo kujikuta hata kama anahutubia watu watano basi inabidi wasogelee karibu ndiyo maana wengine wakaona wapande mitini kusikia kisauti chake kidogo
Sasa unalia nini?
 
Ni vigumu kueleza tukaeleweka, bali unachotakiwa kufahamu ni kwamba wakati wao wanamalizia kuuza eneo la Bahari, baada ya kumaliza kuuza mbuga na ardhi, Tundu Lissu yuko Huko Singida akifundisha wananchi namna ya kulinda rasilimali zao.

Unaambiwa ni hatari! Mikutano inajaa kiasi cha wananchi kulazimika kupanda Juu ya miti ili kumshuhudia Mtu huyu Mfufuka aliyetandikwa zaidi ya risasi 40 na watawala kwa lengo la kumuua bila mafanikio

Maneno matupu hayavunji mfupa

Mwamna anafyeka kila kitu huko.
 
Hapo ni kijijini hawana umeme, hawana vipaza sauti na sauti ya lisu ni ndogo kutokana na kuwa muda mwingi anakuwa kalewa hivyo kujikuta hata kama anahutubia watu watano basi inabidi wasogelee karibu ndiyo maana wengine wakaona wapande mitini kusikia kisauti chake kidogo
Umelaaniwa tangu enzi za jiwe hadi leo bado unatembea n a laana.
 
Hapo ni kijijini hawana umeme, hawana vipaza sauti na sauti ya lisu ni ndogo kutokana na kuwa muda mwingi anakuwa kalewa hivyo kujikuta hata kama anahutubia watu watano basi inabidi wasogelee karibu ndiyo maana wengine wakaona wapande mitini kusikia kisauti chake kidogo
Mbunge anaehusika na hiko kijiji yuko wapi?
 
Back
Top Bottom