Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Nasikitika tu unaposema lisu ana nyomi kumbe anahutubia watu 30Sasa unalia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikitika tu unaposema lisu ana nyomi kumbe anahutubia watu 30Sasa unalia nini?
Ndiyo ukweli mtu wenu anahutubia ka kikundi watu 10 mpaka 30, ona tu hata pichaUmelaaniwa tangu enzi za jiwe hadi leo bado unatembea n a laana.
Sijui kabisa mwayaMbunge anaehusika na hiko kijiji yuko wapi?
Huo mkutano alifanyia Kijiji/mji Gani?Sasa unalia nini?
Mwenye picha ya mkutanio wa CUF na Lipumba Iringa 2020 tunaiombaNi vigumu kueleza tukaeleweka, bali unachotakiwa kufahamu ni kwamba wakati wao wanamalizia kuuza eneo la Bahari, baada ya kumaliza kuuza mbuga na ardhi, Tundu Lissu yuko Huko Singida akifundisha wananchi namna ya kulinda rasilimali zao.
Unaambiwa ni hatari! Mikutano inajaa kiasi cha wananchi kulazimika kupanda Juu ya miti ili kumshuhudia Mtu huyu Mfufuka aliyetandikwa zaidi ya risasi 40 na watawala kwa lengo la kumuua bila mafanikio
Maneno matupu hayavunji mfupa
AiseeeeMwenye picha ya mkutanio wa CUF na Lipumba Iringa 2020 tunaiomba
Maisha Magumu yamewafanya wabongo mkate sana Tamaa, poleni WanyongeEndeleeni kumsindikiza mwenzenu awe tajiri haya maisha matamu sn ukijua jinsi ya kula na wajinga