ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nafikiri point yake ni hiyo ya kupakana na mikoa mingi afu mkoa wenyew upo katikati ya nchi ukilinganisha na DodomaPoint yako haswa ni nini ? Mbona Morogoro imepakana na mikoa mingi pia ?
Kama kweli hivi. Lakini kwa Tanganyika alichokiasisi Nyerere ni kama msahafu . Mbaya zaidi wananchi hawakuhusishwa, bali kipindi hicho nchi ilikuwa inaongozwa na maazimio.Simiyu,Iringa,Dodoma,shinyanga, Arusha,Manyara, Tabora,Mbeya n.k
Point yangu Ni kwamba makao makuu yalipaswa yawe Singida
Ukibisha bisha kwa facts
Wale wa picha hio hapo
Dodoma yenyewe imepakana na mikoa minne tuView attachment 1770189
Huo mkoa ni mzito sijui kama nini sijawahi ona, uswahili mwingi sana pale.Litabora likubwa jinga, halina maendeleo [emoji3]
Vp kuhusu Moro?!Simiyu,Iringa,Dodoma,shinyanga, Arusha,Manyara, Tabora,Mbeya n.k
Point yangu Ni kwamba makao makuu yalipaswa yawe Singida
Ukibisha bisha kwa facts
Wale wa picha hio hapo
Dodoma yenyewe imepakana na mikoa minne tuView attachment 1770189
Morogoro ndio mkoa unaopakana na mikoa mingi zaidi.Simiyu,Iringa,Dodoma,shinyanga, Arusha,Manyara, Tabora,Mbeya n.k
Point yangu Ni kwamba makao makuu yalipaswa yawe Singida
Ukibisha bisha kwa facts
Wale wa picha hio hapo
Dodoma yenyewe imepakana na mikoa minne tuView attachment 1770189
Ni sawa na MorogoroSimiyu,Iringa,Dodoma,shinyanga, Arusha,Manyara, Tabora,Mbeya n.k
Point yangu Ni kwamba makao makuu yalipaswa yawe Singida
Ukibisha bisha kwa facts
Wale wa picha hio hapo
Dodoma yenyewe imepakana na mikoa minne tuView attachment 1770189
Moro inaongozaNi sawa na Morogoro
Hata mm nlishajiuliza Sana hili yaniHuo mkoa ni mzito sijui kama nini sijawahi ona, uswahili mwingi sana pale.
Point ni kuwa katikati ya Nchi na kupakana na Mikoa mingi.Morogoro ndio mkoa unaopakana na mikoa mingi zaidi.
Vv
Morogoro ipo katikati ya Nchi?Ni sawa na Morogoro