Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] Kubwa jingwa kwelikweliLitabora likubwa jinga, halina maendeleo [emoji3]
Mtu kwao inaonekana wakazi wa Tabora na kigoma wanafanana kitabia, hawarudi kuendeleza nyumbani.Hata mm nlishajiuliza Sana hili yani
Mkoa mkubwa Lakin uko nyuma Sana Kama hauna viongoz vile
Bila kuisahau lindi..hii mikoa ilipaswa iwe hifadhi za misitu za taifa tu.Litabora likubwa jinga, halina maendeleo [emoji3]
[emoji16] Lindi pamesahaulika ila ni mpoja wapo ya mkoa wenye resources zakutosha TzBila kuisahau lindi..hii mikoa ilipaswa iwe hifadhi za misitu za taifa tu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mapori ya akiba manyoni Simba wapo,tembo,n.kBila shaka ww ni mnyiramba
Hivi singida kuna national park?
Kuna mapori ya akiba manyoni Simba wapo,tembo,n.k
Hiyo ndo sababu inayomfanya atake iwe makao makuuAngeandika "Singida ni miongoni mwa mikoa inayopakana na mikoa mingi"
Nani mnyiramba hata siwajui, Niko Mbeya , logically Singida ipo katikati.Bila shaka ww ni mnyiramba
Hivi singida kuna national park?
Nakuunga mkono manyoni ndiyo katikati ya Tz coz kijiji cha suka mahela kilichopo wilaya ya manyoni-Singida, ndipo kilipo kile ki rada kinachoonyesha hapo ni katikati ya Tz na mpaka kukipita hicho kijiji una kimbia kilometer zaidi ya 60 kuifikia Dom.
Mkoa kasolo Bahali
Unavipimo utudhibitishieNani mnyiramba hata siwajui, Niko Mbeya , logically Singida ipo katikati.
Sent using Jamii Forums mobile app