Aisy
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 500
- 1,126
Yanii tabora muda wote mji umesinziaHuo mkoa ni mzito sijui kama nini sijawahi ona, uswahili mwingi sana pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanii tabora muda wote mji umesinziaHuo mkoa ni mzito sijui kama nini sijawahi ona, uswahili mwingi sana pale.
Kijiografia Singida sawa, ndiyo iliyo katikati mwa nchi na si Dodoma.Simiyu, Iringa, Dodoma, Shinyanga, Arusha, Manyara, Tabora, Mbeya n.k.
Point yangu ni kwamba makao makuu yalipaswa yawe Singida.
Ukibisha bisha kwa facts.
Wale wa picha hio hapo.
Dodoma yenyewe imepakana na mikoa minne tu.
View attachment 1770189
Me numefika mara ya mwisho 2012, wewe mara ya mwisho umefika lini mkuu?Ule mji umelala sana
Bora Tabora Shinyanga jeUle mji umelala sana
Kumbuka Dodoma na Singida ilikua mkoa mmojaSUKAMAHELA ndo centre ya Tanzania! Sasa pale ni Dom au Singidani?
Me numefika mara ya mwisho 2012, wewe mara ya mwisho umefika lini mkuu?
Wahovyo kweli, unaweza kaa sehemu na kuna nyumba za wageni ukatafuta chai kitongoji kizima hakuna kabisa sijui wanaishi vipi wale.Yanii tabora muda wote mji umesinzia
Point yake ni kuwa makao makuu ya nchi yalipaswa kuwa Singida ndio mkoa ulio katikati ya nchi, hususani wilaya ya ManyoniPoint yako haswa ni nini? Mbona Morogoro imepakana na mikoa mingi pia?
Wahovyo kweli, unaweza ukatafuta chai kitongoji kizima hakuna mama lishe, sijui wanaishi vipi wale watu!Yanii tabora muda wote mji umesinzia
Bila kuisahau lindi..hii mikoa ilipaswa iwe hifadhi za misitu za taifa tu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha maduka wanafungua sa tanoWahovyo kweli, unaweza ukatafuta chai kitongoji kizima hakuna mama lishe, sijui wanaishi vipi wale watu!
Hapaeleweki acha yawe hapo hapo kwa wagogoPoint yake ni kuwa makao makuu ya nchi yalipaswa kuwa Singida ndio mkoa ulio katikati ya nchi, hususani wilaya ya Manyoni
Yaani kulikuwa na shughuli tukakaa guest moja tupo wengi sasa asubuhi badala ya kusubilia wenyeji walete chai twendeni tunywe mtaani aise tulikosaHahaha maduka wanafungua sa tano
Kumbe njombe ni mkoaSimiyu, Iringa, Dodoma, Shinyanga, Arusha, Manyara, Tabora, Mbeya n.k.
Point yangu ni kwamba makao makuu yalipaswa yawe Singida.
Ukibisha bisha kwa facts.
Wale wa picha hio hapo.
Dodoma yenyewe imepakana na mikoa minne tu.
View attachment 1770189
Mkuu mapori huwa yanajiendeleza yenyewe ?Litabora likubwa jinga, halina maendeleo 😀
Singida haiko katikati ya nchiKijiografia Singida sawa, ndiyo iliyo katikati mwa nchi na si Dodoma.
Mantiki ya kuwekwa makao makuu pale Dodoma ilikuwa kwamba ni kati kati ya nchi na si kwa kupakana na wingi wa mikoa ya jirani.
Hicho kigezo sikukijua mkuu.Singida haiko katikati ya nchi
Ukiangalia zile coordinates za pale Manyoni na radius ya kufika Singida ilikua mbali kuliko kufika Dodoma ndo sababu kuonekana Dodoma ni katikati zaidi ya Singida(Dodoma kama mji sio mkoa,Singida kama mji sio mkoa na Manyoni kama mji)