Wamepewa tuzo eti???Simiyu,Iringa,Dodoma,shinyanga, Arusha,Manyara, Tabora,Mbeya n.k
Point yangu Ni kwamba makao makuu yalipaswa yawe Singida
Ukibisha bisha kwa facts
Wale wa picha hio hapo
Dodoma yenyewe imepakana na mikoa minne tuView attachment 1770189
Huo mkoa ni mzito sijui kama nini sijawahi ona, uswahili mwingi sana pale.
Nakuunga mkono manyoni ndiyo katikati ya Tz coz kijiji cha suka mahela kilichopo wilaya ya manyoni-Singida, ndipo kilipo kile ki rada kinachoonyesha hapo ni katikati ya Tz na mpaka kukipita hicho kijiji una kimbia kilometer zaidi ya 60 kuifikia Dom.inasemekana zamani Dom na Sgd ilikuwa mkoa mmoja na katikati ya nchi ilikuwa ni Manyoni
Sema Kilimanjaro kama sio geographia. Yake na aina ya watu wanaopatikana huko . Haki ungekuwa ni mkoa ulio nyuma sana kimaendeleo .. Mungu alikuwa fundi sana kwa kweli...Kilimanjaro ndio mkoa ambao uko juu kabisa Karibu na ikweta katikati ya dunia, hapa ndio makao makuu ya nchi yalitakiwa kuwepo. Mgeni hata akitoka ulaya, Asia au america anawahi kufika hivi kwanini wananchi hatukushirikishwa. Inawezekana hata nauli ya ndege ingepungua😡
Pia litabora linaongoza kwa vichaa lipumba anatoka hukoLitabora likubwa jinga, halina maendeleo [emoji3]
Kingwangala na lipumba wanatoka hukoHata mm nlishajiuliza Sana hili yani
Mkoa mkubwa Lakin uko nyuma Sana Kama hauna viongoz vile
Uko sahihi, hapo ndio katikati ya nchiNakuunga mkono manyoni ndiyo katikati ya Tz coz kijiji cha suka mahela kilichopo wilaya ya manyoni-Singida, ndipo kilipo kile ki rada kinachoonyesha hapo ni katikati ya Tz na mpaka kukipita hicho kijiji una kimbia kilometer zaidi ya 60 kuifikia Dom.
inasemekana zamani Dom na Sgd ilikuwa mkoa mmoja na katikati ya nchi ilikuwa ni Manyoni
Nje ya mada ila naka Kilimanjaro kasingefanywa mkoa kangefanywa tu wilaya ya Arusha 😀
Dom imewekwa makao makuu, bunge, na vyuo kuibust we unazani watu wangeishije pakavu mno
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Kuna kanuni kuwa mji mkuu lazima uwe kati ya inchi?
Centroid ya Tanzania iko mkoa upi?Simiyu,Iringa,Dodoma,shinyanga, Arusha,Manyara, Tabora,Mbeya n.k
Point yangu Ni kwamba makao makuu yalipaswa yawe Singida
Ukibisha bisha kwa facts
Wale wa picha hio hapo
Dodoma yenyewe imepakana na mikoa minne tuView attachment 1770189
Uvivu na Uswahili umejaa TaboraLitabora likubwa jinga, halina maendeleo [emoji3]