Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Eheee kumbe bado lipo?Rais #Magufuli: Janga la #COVID19 limepungua sana pamoja na kuwa bado hailijaisha
Zile kauli za kuwa amejificha mmezisahau!!!Kahutubia Singida muda si mrefu atakuwa Manyoni then Dodoma. Kaifuata Corona halafu anaiponda. Hii Corona ukiiponda ndo inakuja kukuonyesha yenyewe ni nani.
Kwahiyo jabza ya kufiwa na wazazi wako, tena wakiwa fukara kabla hawajaona mafanikio yako, ndo unaileta kwangu.
Hatari sana...duuh tena awa ndiyo washauri wa Serikali yetu MUNGU TUSAMEHE vitamini C Aisee sio D.Bila jua hakuna vitamin C.
Ni muhimu shule zifunguliwe lakin hapo tahadhari kubwa inatakiwa itolewe kwanza,wizara itoe miongozo ya kuwakinga watoto wa shule/wana funzi /walimu vs covid19.Fungua shule kwanza.
Je ,wajua? Kua Nicaragua, Turkmenistan, Estonia,Ujerumani, Sweden,Thailand wanaongozwa na huyu tulie mchagua?Subiri wiki mbili zijazo WHO watathibitisha hili kama ambavyo wamefanya hivyo kwenye issue za lockdown.
Kutoka singida Hadi dodoma kwa spidi ile ni masaa mangapi?Yuko singida kawaambia wakuu wa mikoa wakae na wenzao wa kenya wayamalize
Bongo bhana 😂😂😂RC wa Dar alisema waliokimbilia mikoani kuogopa korona warudi
Ee Mola mtukufu, mwenye kutuneemesha kwa neema kubwakubwa na neema ndogondogo, tunakuomba utusikie sisi waja wako. Wafanyie wepesi wale watafiti wa chanjo na dawa, ili zipatikane kwa wakati huu kabla ya gharika hili la Covid 19 halijaimeza nchi yetu. Amina.Hatari sana...duuh tena awa ndiyo washauri wa Serikali yetu MUNGU TUSAMEHE vitamini C Aisee sio D.
Maboya wa wazungu wanasubilia mpaka wazungu waongee ndipo waamini Sisi tunae mwana sayasi hapa na tuna muamini sababu hao wazungu wana lisubiria juwa kwa hamJe ,wajua? Kua Nicaragua, Turkmenistan, Estonia,Ujerumani, Sweden,Thailand wanaongozwa na huyu tulie mchagua?
Jembe si jembe?
Twende kazi...Wapinzani kaisomeni namba.
Akikaa Chato maneno leo anarudi maneno chadema kila kitu kupingaKarudi kuvunja bunge huyo,hana lolote.
Nongwa hiiNi taarifa niliyoipata muda mfupi uliopita ila tusubiri muda utathibitisha.
Mliokula night za kutosha hongera zenu!!!
Mkuu, umesahau ulivyokuwa ukikerwa Kwa yeye kuwa nje na Ikuru, yamekuwa hayo tena!!😂Huku dar hatumhitaji kama vipi aishie hapo Dodoma
Kaitikia wito wa Makonda kwamba waliokimbia Dar kwa ajili ya korona warudiHana lolote naona muda wa kuvunja bunge unakalibia kaona ajisogeze kalibu na mjengo mapema.
Corona ikimsikia Jpm inalialia tuAchana na wapiga kelele awa mkuu...Jembe katangulia mbele ..anatuonyesha njia. Kama W.H.O na US wamepiga salute wewe ni nani kumbishia jembe?
Ambayo kazi yake sio kama aliyoaema anko magu...alafu hiyo D inasaidia watoto tu chini ya 5yrsIt's D
Labda walikufa wakafufuka wako imara. Vipi wewe ulivyopoteza kwenye ukimwi huwa nakuhurumia sana na ww usipokuwa makini ngoma itakupeleka mapemaKwahiyo jabza ya kufiwa na wazazi wako, tena wakiwa fukara kabla hawajaona mafanikio yako, ndo unaileta kwangu.
Kenge wa kijivu we!