Singida: Rais Magufuli awasihi Watanzania kuchapa kazi. Corona haikuanzia Afrika na imewakoromea wote hata wale wenye uwezo

Singida: Rais Magufuli awasihi Watanzania kuchapa kazi. Corona haikuanzia Afrika na imewakoromea wote hata wale wenye uwezo

Jamaa anahamasisha watu wasivae barakoa..
Sema afungue shule aiseeh
mtu wa kwanza kuhamasisha watu na viwanda vya ndani kushona barakoa kwa wingi ni yeye mwenyewe lakini cha ajabu ndo huyo huyo anahamasisha watu wasivae barakoa badala ya kuhamasisha watu waendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, ili soko la barakoa liongezeke hatimae watu waliotumia gharama zao kushona barakoa wapate kipato na kurudisha gharama walizotumia.Bado hivyo viwanda vya ndani vinavyo himizwa kuanzishwa wakati huo soko la bidhaa zake linazidi kufifishwa na viongozi hao hao
 
rejea kwa Trump nae hazitilii maanani hizi barokoa, hajawahi kuzivaa
Raisi Trump na Raisi Msgufuli wana vitu vinafanana hawapendi kuvaa barakoa, wote wanahimiza watu warejee kazini pia.Wote waliudharau ugonjwa ulipopiga hodi .Mara nyingi wanatofautiana na wataalamu wa Afya.
 
Raha sana baba yetu rais wetu TUNAKUPENDA SANA
HONGERA SANA KWA KAZI NZURI UNAZOZIFANYA. MUNGU AKULINDE NA AZIDI KUKUBARIKI ZAIDI NA ZAIDI. AMINA
 
Kahutubia Singida muda si mrefu atakuwa Manyoni then Dodoma. Kaifuata Corona halafu anaiponda. Hii Corona ukiiponda ndo inakuja kukuonyesha yenyewe ni nani.
Si mlisema kaikimbia kaenda kujificha,

Sent using my dyudyu
 
Tanzania Imepatikana Aiseee!!

Mkapa ! Mkapa ! Mkapa ! Tulikukosea Nini Hasa Watanzania ?
Siyo Mkapa!! Ni Mwenyekiti wa CCM wa mwaka 2015 ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa Kamati Kuu vile vile ndiye aliye leta majina 5 na la Jiwe likiwapo
 
Chuma kimerudi

Sent using Jamii Forums mobile app
Chuma kimerudi town na mboga ...
Screenshot_20200508-112939.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wa porojo, mara Mungu mara tahadhari mara blabla......
 
Back
Top Bottom