park don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 4,923
- 7,048
πππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππ
Kama si kinga, kwa nini mnawahimiza wanainchi wazivae?Maneno ya wakosaji.
Nani kakwambia barakoa ni Kinga dhidi ya corona?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miezi kadhaa iliyopita alikuwa anakukosha sana ila saivi.... Duh! Humuelewi kabisa yaaniKahutubia Singida muda si mrefu atakuwa Manyoni then Dodoma. Kaifuata Corona halafu anaiponda. Hii Corona ukiiponda ndo inakuja kukuonyesha yenyewe ni nani.
Hehehehe. Maneno yetu yamemrudisha Dodoma.Si mlisema kaikimbia kaenda kujificha,
Sent using my dyudyu
Kwani wewe umesharudi?Hehehehe. Maneno yetu yamemrudisha Dodoma.
Wapi ?Kwani wewe umesharudi?
Nani kapinga angeendelea kukaa tu hukohuko ungeona kama kuna mtu angemfuata.
Kama si kinga, kwa nini mnawahimiza wanainchi wazivae?
kauli ile inayosema "endeleeni kuchukua tahadhari", je ni tahadhari zipi hizo zinazohubiriwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja wiki ijayo who watakuambia.View attachment 1454980
Kama kuna chanzo cha huu utafiti(hii habari),basi mnaojua naomba mtujuze tukasome kwa undani.
Mkuu siku hizi unabadilika kutokana na upepo unavyovuma..mwanzo ulisema anasukuma kurudumu la maendeleo akiwa ikulu Chato na wala hakua likizo.JPM baada ya likizo ndefu amerudi kuendela kulisukuma gurudumu la maendeleo ya Watanzania. Wenye wivu wajinyonge.
Amewaponngeza Watu wa Singida na kufurahi mnama mkoa huo unavyopendeza. Amesema amefurahi kuona Watanzania wakiwa wandelea kuomba kuhusu #COVID19
Rais #Magufuli:
Janga la #COVID19 limepungua sana pamoja na kuwa bado hailijaisha
Ndugu zangu tuendelee kuchukua hatua. Katika mkoa wa Singida kwenye vituo vyetu wamebaki wagonjwa 3 na wanaendela vizuri. Ni taarifa nzuri tuendelee kuomba na kuchukua tahadhari
Tusiongope tusitishane, na uzuri Singida hamjaogopa na hata waliovaa barakoa ni wachache, hata mimi sikuvaa hata RC kwa kuwa Mungu yupo pamoja nasi. Endeleeni kuchukua tahadhari. Ugonjwa huu ukijifungia uwezo wa mwili kupambana na magonjwa unapotea
Sikutaka kuwafungia watu nyumbani kwa maana wanaolima mpunga wangelima nini? Wanaouza mtumba wangeuza nini? Sikufunga mtu ndani kwa Kisukuma wanasema 'lockdown' endeleeni kuchapa kazi.
Taa hizi (za barabarani) zimefungwa wakati wa COVID19. Tuchape kazi. Uchumi wetu ni muhimu kuliko kitu chochote
Kenyatta alinipigia simu nikiwa Chato. Leo pia kanipigia tumezungumza pia. Tumezungumza kama migogoro kule mipakani. Kenya ni marafiki zetu. Tumekubaliana mawaziri wetu wa uchukuzi na wakuu wa Mikoa watakutana mpakani na Kenya wazungumze hili walimalize.
Hii korona isiwe chanzo cha migogoro. Haiwezekani kila dereva anayekwenda huko awe na korona. Nawaomba viongozi wa mikoa inayopakana na Kenya wasitatue matatizo yao kwa jazba. Wazingatie uchumi wa nchi zetu.
Ninafahamu mtu ukichokozwa kidogo ukanyamaza, na wewe unachokoza kidogo. Nataka Wakenya na Watanzania wafanye biashara vizuriβ
Naomba, na kwakuwa tumezungumza vizuri na Mheshimiwa Kenyatta, sisi tumeyamaliza.
Haiwezekani mtu anasafiri anaenda nchi jirani anaambiwa akae mpaka sijui siku ngapi wakati amepakia bidhaa
Korona haikuwanzia Afrika. Na imewakoromea wote hata wale wenye uwezo.
Huu ni wakati wa kujenga uchumi. Tunataka Kenya waje wachukuwe maziwa hapa. Tunataka vitunguu vya Singida viuzwe mpaka Kenya.
Tunataka Kenya mafuta ya alizeti yafike mpaka Kenya. Huo ndiyo uchumi wakweli
Ndugu zangu Madereva endeleeni kutulia kwani hili litatatuliwa na serikali zote mbili
Maendeleo ya Singida ni tofauti sana na nyuma.
Endeleeni kushikamana, Musibaguane kwa sababu ya vyama, musibaguane kwa sababu ya dini, musibaguane kwa sababu ya rangi. Sisi wote ni Watanzania na lengo letu kubwa ni kujenga uchumi wa nchinyetu.
πππππππππππNa Marehemu Babako je, Dunia nzima ilisimama kwa ajili ya kifo chake?
Hahahaha hivi nani huwa anaharisha zaidi ya aliowateuwaAisee kuna watu akisikia jpm tumbo linawauma na kuharisha muda huohuo au kujambajamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umechukia jinyonge.Mkuu siku hizi unabadilika kutokana na upepo unavyovuma..mwanzo ulisema anasukuma kurudumu la maendeleo akiwa ikulu Chato na wala hakua likizo.
Leo tena unasema baada ya likizo ndefu ameamua kurudi kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo.
Kesho akigeuza kurudi Chato kumwona mama then utasema amerudi tena kuendelea na majukumu.
Ukishindwa kusimamia jambo unakua kama hayawani flani hivi. Wajenzi wa uchumi wa kati.
kwenye janga la corona unaposema uchumi ni muhimu kuliko kitu kingine una maana uchumi ni bora kuliko UHAI. daah kama ni rais tunaye