LGE2024 Singida: Tundu Lissu aongoza mazishi ya Mgombea wa CHADEMA aliyeuawa na Polisi kwa bunduki ya Serikali

LGE2024 Singida: Tundu Lissu aongoza mazishi ya Mgombea wa CHADEMA aliyeuawa na Polisi kwa bunduki ya Serikali

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Aliyeua ni Polisi ila chuki tunaambiwa sisi waombolezaji ndio tunaonekana tunasambaza chuki! Yaani jamaa yetu kauawa halafu hatutakiwi kusema chochote!

Eee bhana eee!! Huu utukufu mnaojipa mbona umezidi hata ule wa Yesu!!
Aliyeua ni magereza punguani wewe
 
Sasa hilo popoma kwa nini linamuita polisi,au ana shida tu na polisi!?
Tatizo neno Askari, ndio maana utofauti unatakiwa kusema Askari polisi, na magereza anaitwa Askari magereza na jeshi anaitwa Askari jeshi
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameongoza Waombolezaji katika Mazishi ya Mgombea Uenyekiti wa kijiji kupitia Chadema, Aliyeuawa na Askari aliyetumwa kumuua na wanaodhani hii Nchi ni yao.

Unaua Mtu kwa sababu tu ni mgombea wa Chadema, Hakika tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo, na Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Marehemu huyu asiye na hatia, Amina.

View attachment 3165797View attachment 3165799

Mungu ibariki Chadema
Mara hii imeshakuwa ameuawa na Polisi, siasa hizi ....
 
Si Chawa wenu walisema Yuko Marekani? Waulize Chawa.
Huyo mbwa hata kwao Kyela hawamjui kwao Kyela kajunjumele km unaenda Itungi poti hawamjui huyo nyumbani kwao kuna njaa km mm sasahv kukimbilia Uganda ndio yupo huko rudi hapa tz.halafu tuende kwenu kajunjumele
 
Usisahau Makada 6 wa CCM wameuawa
Hakuna hata mmoja aliyeguswa wacha uongo wa kipumbavu. Wanachadema waliouwawa wametajwa majina na mazishi yao tumeyaona hao wa CCM mbona hawatajwi na wamezikiwa wapi? Usishabikie mambo ya hovyo haya Makalla ni mjinga tu
 
Back
Top Bottom