gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Aliyeua ni magereza punguani weweAliyeua ni Polisi ila chuki tunaambiwa sisi waombolezaji ndio tunaonekana tunasambaza chuki! Yaani jamaa yetu kauawa halafu hatutakiwi kusema chochote!
Eee bhana eee!! Huu utukufu mnaojipa mbona umezidi hata ule wa Yesu!!
Una PhD ya unafiki.Uchaguzi ni swala mtambuka 😀
Mmepata viti vingapi!?..kufika 2030 mbowe atakua mzee wa kukimbilia 70s na chama chali,tafuta cha kufanyaHaya mambo Yako kikanuni na Wewe unajaribu kuyaingiza kwenye siasa zako uchwara
Usisahau Makada 6 wa CCM wameuawaNdiyo ujue kuwa CCM imeishiwa ushawishi kwa wapiga kura hadi inatumia mbinu za kigaidi.
Nimekuambia uko kisiasa na wenzako hatuko huko Kwenye huo Ushamba 😂😂Mmepata viti vingapi!?..kufika 2030 mbowe atakua mzee wa kukimbilia 70s na chama chali,tafuta cha kufanya
Tatizo neno Askari, ndio maana utofauti unatakiwa kusema Askari polisi, na magereza anaitwa Askari magereza na jeshi anaitwa Askari jeshiSasa hilo popoma kwa nini linamuita polisi,au ana shida tu na polisi!?
Hakuna mnyakyusa mpumbavu.km wewee nenda kwenu kajunjumelewakakuone wazazi wako naona umelohwaKwani KIKAO CHA kamati KUU hakikufanyika? Kama walivyotutangazia
Jikite kwenye madaKwani KIKAO CHA kamati KUU hakikufanyika? Kama walivyotutangazia
Mnyakyusa gani we una___&&fi; namchaga hiyo aibu kwa mnyakyusaHivi Lissu naye alipiga kura?
Si Chawa wenu walisema Yuko Marekani? Waulize Chawa.Kwani KIKAO CHA kamati KUU hakikufanyika? Kama walivyotutangazia
Huna uwezo wa kupatanisha Polisi wa Tanzania na Raia, si rahisi kama unavyodhani, Endelea kunitukana tu hilo ndio utaliwezaAliyeua ni magereza punguani wewe
Mara hii imeshakuwa ameuawa na Polisi, siasa hizi ....Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameongoza Waombolezaji katika Mazishi ya Mgombea Uenyekiti wa kijiji kupitia Chadema, Aliyeuawa na Askari aliyetumwa kumuua na wanaodhani hii Nchi ni yao.
Unaua Mtu kwa sababu tu ni mgombea wa Chadema, Hakika tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo, na Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Marehemu huyu asiye na hatia, Amina.
View attachment 3165797View attachment 3165799
Mungu ibariki Chadema
Wamezikwa wapi? Kumuamini Makalla unapaswa kuwa Mwehu.Usisahau Makada 6 wa CCM wameuawa
Kauawa na nani?Mara hii imeshakuwa ameuawa na Polisi, siasa hizi ....
Huyo mbwa hata kwao Kyela hawamjui kwao Kyela kajunjumele km unaenda Itungi poti hawamjui huyo nyumbani kwao kuna njaa km mm sasahv kukimbilia Uganda ndio yupo huko rudi hapa tz.halafu tuende kwenu kajunjumeleSi Chawa wenu walisema Yuko Marekani? Waulize Chawa.
Hakuna hata mmoja aliyeguswa wacha uongo wa kipumbavu. Wanachadema waliouwawa wametajwa majina na mazishi yao tumeyaona hao wa CCM mbona hawatajwi na wamezikiwa wapi? Usishabikie mambo ya hovyo haya Makalla ni mjinga tuUsisahau Makada 6 wa CCM wameuawa
Marekani aende huyu mshamba subutuSi Chawa wenu walisema Yuko Marekani? Waulize Chawa.
acha ubishi nduguWamezikwa wapi? Kumuamini Makalla unapaswa kuwa Mwehu.
Huyu jamaa ameiga upumbavu wa Lucas Mwashambwa .Wamezikwa wapi? Kumuamini Makalla unapaswa kuwa Mwehu.