Singida Wamenyimwa Goli halali na Mwamuzi wa Pembei

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Ni muda sasa tuseme hapana hii sio fair, ni aibu sana ligi 5 kwa ubora Africa kuwa na Waamuzi wa ovyo namna hii.

Bodi ya ligi na chama cha waamuzi kaeni chini mujitafakari hao muowapa mamlaka ya kuamua na kusimamia sheria za mpira wa miguu wanakidhi vigezo vya kutafsiri sheria?

Hili ni goli halali kabisa kabisa ila mwamuzi wa pembeni ameamua kulikataa.
 
Aaahaaaaaaa

Wewe subiri waje Mashariki wa timu la CAF waje wakuzodoe
 
Ikiuma 'CHOMOA'
 
Endelea kuumia
 
Kwa nini uteseke wewe Utopolo, na waliofungwa ni Singida...?

Kunywa maji ukalale...😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…