Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Gari ndogo hizi ni mbaya kwa safari ndefu, ipo siku ntakutafutia 4×4 moja Kali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari ndogo hizi ni mbaya kwa safari ndefu, ipo siku ntakutafutia 4×4 moja Kali sana
Usiniumize wakati unajua natamani kuwa hata na nyumba ya vyumba viwili.Afu Siku zinavyozidi kwenda naiwazia sana nyumba kuliko mapenz.Soon nakuacha love😔Gari ndogo hizi ni mbaya kwa safari ndefu, ipo siku ntakutafutia 4×4 moja Kali sana
Usiniache, navyokupenda hivi ntapata shida sana. Kwenye nyumba hapo ndio uwanja wangu, mm ni contractor pia. Hebu tushauriane unataka ya aina ipi? Unataka iwe mbeya au dar?Usiniumize wakati unajua natamani kuwa hata na nyumba ya vyumba viwili.Afu Siku zinavyozidi kwenda naiwazia sana nyumba kuliko mapenz.Soon nakuacha love[emoji17]
Atakuwa mmoja wao!Wewe acha ligi na wanasiasa wala haitakusaidia kitu ajali zimekuwa zikitokea Mara nyingi hata kabla ya Kauli ya Kinana.Tafuta pesa weka akiba upete life.
Ajali mbaya iliyo husisha gari dogo aina ya Raum imetokea wilayani Mkalama katika mkoa wa Singida.
Chanzo cha ajali ni mwendo kasi.
Mzee Kinana nilikwambia kupitia uzi fulani hapa, kazi iendelee.
========
Watu sita wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Raum, kuacha njia na kupinduka katika eneo la Iguguno Ushamba Wilayani Mkalama Mkoani Singida, huku chanzo kikitajwa kuwa ni mwendokasi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Stella Mutabihirwa, amesema tukio hilo limetokea jana na kusema Dereva wa gari hilo alikuwa anaendesha bila kuchukua tahadhari na ndipo gari hilo lilipohamia upande wa pili wa Barabara na kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo imetokea kwenye Barabara Kuu ya Dar es Salaam - Mwanza wakati abiria wa gari hilo wakitokea Arusha kuelekea Mwanza ambapo Watu watano kati yao walipoteza maisha papohapo huku Dereva wa gari hilo akipoteza maisha wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Singida.
Mzee kinana ni jambazi yule. Anataka urahisi wa kusafirisha magendo. Traffic wangekamata meno ya tembo sasa ameona watimuliwe ili aibe vizuri.Haya ndio Kinana aliyataka. Watu wasafiri kwa uhuru. Maana yake watu wafe mapema.
Marekani ambako wana high ways za kueleweka, zimenyooka na kila aina ya miundombinu ya barabara bora trafiki hawakosekani halafu Kinana anataka barabara hizi wanazojenga ccm zenye matuta na mashimo barabarani watu waruhusiwe kutembea wanavyotaka.
Kinana anataka nchi ijiendeshe kisela kama enzi za kikwete, unregulated county. Haya ndio wanayataka.
Ni yale yale ya Samia alisema wafanyakazi walikua na nidhamu ya uoga, baadae akakiri kwamba nidhamu imeshuka zaidi.
Kinana anataka nchi iniendeshe kama autopilot kama Somalia(home).
Sawa nimeghairi to leave,so I stay with you forever.....Uendeshe vyema si umeona ajali zilivyonyingi sikuhiz love?! Take care!Usiniache, navyokupenda hivi ntapata shida sana. Kwenye nyumba hapo ndio uwanja wangu, mm ni contractor pia. Hebu tushauriane unataka ya aina ipi? Unataka iwe mbeya au dar?
Sidhani kama ndo sababu,mbona ajali zipo Kila Leo kabla hata ya katazo.Sema madereva nao inabidi wawe makin pia na uhuru waliopewa wasiutumie vibaya.Kinana alikataza traffic kukaa barabarani, haya ndio matokeo yake
Ahsante sana, nipo makini na sijawahi kupata accident na naombea iendelee kuwa hivyoSawa nimeghairi to leave,so I stay with you forever.....Uendeshe vyema si umeona ajali zilivyonyingi sikuhiz love?! Take care!
Huu ni ushamba wetu wa kutozoea barabara zilizonyooka ndiyo maana sisi madereva limbukeni tunaona tuendeshe kwa kasi.Haya ndio Kinana aliyataka. Watu wasafiri kwa uhuru. Maana yake watu wafe mapema.
Sina shaka, unafaidika na hali ilivyo sasa!Wewe acha ligi na wanasiasa wala haitakusaidia kitu ajali zimekuwa zikitokea Mara nyingi hata kabla ya Kauli ya Kinana.Tafuta pesa weka akiba upete life.
Good!😘Ahsante sana, nipo makini na sijawahi kupata accident na naombea iendelee kuwa hivyo
Labda kuna mama alibeba mtoto!Hata hiyo sio sawa, Raum ni 5 seats. Wawili mbele, watatu nyuma. Ila huwa tunaforce sana kuweka watu wanne nyuma, gari yenyewe wakiwa tu watatu nyuma tu inakuwa imechuchumaa.
Kwa route za gari kukaa wanne nyuma sio mbaya japo hairuhusiwi, Ila kwa route ndefu ni kutafuta shida tu
Yani umeripoti ajali na hapohapo unamlaumu kinana .Ajali mbaya iliyo husisha gari dogo aina ya Raum imetokea wilayani Mkalama katika mkoa wa Singida.
Chanzo cha ajali ni mwendo kasi.
Mzee Kinana nilikwambia kupitia uzi fulani hapa, kazi iendelee.
========
Watu sita wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Raum, kuacha njia na kupinduka katika eneo la Iguguno Ushamba Wilayani Mkalama Mkoani Singida, huku chanzo kikitajwa kuwa ni mwendokasi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Stella Mutabihirwa, amesema tukio hilo limetokea jana na kusema Dereva wa gari hilo alikuwa anaendesha bila kuchukua tahadhari na ndipo gari hilo lilipohamia upande wa pili wa Barabara na kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo imetokea kwenye Barabara Kuu ya Dar es Salaam - Mwanza wakati abiria wa gari hilo wakitokea Arusha kuelekea Mwanza ambapo Watu watano kati yao walipoteza maisha papohapo huku Dereva wa gari hilo akipoteza maisha wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Singida.